Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa
Muimbaji wa kundi la Yamoto Band, Aslay amewaka wasanii wachanga kuepuka tamaa za mafanikio ya haraka. Aslay ameiambia Bongo5 kuwa alijitahidi kupambana na watu ambao walikuwa wanajaribu kumlaghai ili wampoteze. “Unajua watu wanavyokuona sehemu wanaweza wakakulaghai ili uone hapafai,”amesema. “Mimi nimekutana na watu kama hao, sana lakini kwenye kichwa changu nilikuwa naamini ninachokifanya. Pia tamaa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo512 Nov
AT awataka wasanii kuacha kuwadharau ma-director wa Tanzania
10 years ago
Bongo505 Oct
AY awataka wasanii kuacha kuogopa kuuliza mambo wasiyoyajua
9 years ago
Bongo521 Nov
Mwasiti awataka wasanii kuacha kufuata mkumbo kufanya video nje

Mwasiti Almas amewataka wasanii kuacha kufuata mkumbo wa kwenda kufanya video nje wakati bado hawajajipanga jinsi ya kufanya mwendelezo.
Akizungumza na Bongo5 leo, Mwasiti amesema wasanii wanatakiwa kujiangalia mara mbili mbili kabla ya kufanya maamuzi hayo.
“Kwanza kabisa tusifuate mkumbo, tusifuate mkumbo kwa sababu fulani na fulani wamefanya video Afrika Kusini na wewe au wote tukafanye video Afrika Kusini,” amesema.
“Kwanza lazima ujiangalie kama kweli huo ni wakati wako. Hata mimi...
11 years ago
Mwananchi29 Jun
awataka wasanii Bongo fleva kuwa makini na kuacha sifa ili kusonga mbele
11 years ago
Michuzi
AFANDE SELE AWAASA WASANII KUUNGANA NA KUWA KITU KIMOJA,AWATAKA KUACHA TABIA YA KUBAGUANA.


10 years ago
Bongo526 Oct
Mabeste aanza kutoa semina kwa wasanii wachanga
9 years ago
Bongo527 Nov
Wasanii wachanga kunufaika pia na uchezwaji wa nyimbo zao

Baada ya Chama cha Haki Miliki Tanzania (COSOTA) pamoja na kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) kutangaza neema kwa wasanii kuanza kunufaika kwa kulipwa mirahaba itokanayo na kazi zao kuchezwa kwenye redio na TV, wasanii wachanga wameanza kuwa na hofu na mfumo huo.
muziki pesa
Akizungumza na 255 ya XXL kupitia Clouds FM, Afisa Mtendaji Mkuu COSOTA, Doreen Anthony alisema kila kazi ya msanii itakayosikika itatakiwa kulipiwa.
“Kwetu sisi...
11 years ago
Bongo513 Aug
Mike T atoa ofa ya video 10 kwa wasanii wachanga
10 years ago
Vijimambo
PAUL LOOPS NA BEATSTAPE YA KUWASAIDIA WASANII WACHANGA WA HIPHOP

kimziki wananiita Paul oops ...have been working at b records material tabata segerea na chizn brain,... nishafanya beats na couple of artists wakubwa humu nchini, moja ngoma ambayo zimefanya vizuri ni no bifu ya marehemu mngwea ft tid.. na ambazo zipo kwa sasa ni pamoja na leo ya mwasiti ft godzilla na no love ya mdplant ft mrap na country boy...
Lengo la...