PAUL LOOPS NA BEATSTAPE YA KUWASAIDIA WASANII WACHANGA WA HIPHOP
![](http://2.bp.blogspot.com/-aOOKcw1RQ0s/VYbIYinsSHI/AAAAAAADtCs/FjwuEiZAs8Y/s72-c/1149659_585183708212907_675930370_o.jpg)
hi... short story kuhusu mimi na hii hiphop beats mixtape kwa ajili ya kuwasupport wasanii wachanga wasio na uwezo kwenye hiphop...
kimziki wananiita Paul oops ...have been working at b records material tabata segerea na chizn brain,... nishafanya beats na couple of artists wakubwa humu nchini, moja ngoma ambayo zimefanya vizuri ni no bifu ya marehemu mngwea ft tid.. na ambazo zipo kwa sasa ni pamoja na leo ya mwasiti ft godzilla na no love ya mdplant ft mrap na country boy...
Lengo la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Oct
Aslay awataka wasanii wachanga kuacha tamaa
10 years ago
Bongo507 Mar
Fid Q awasharikisha Sauti Sol, ataja sababu za kutotoa ngoma nyingi na wasanii wa hiphop kutofanikiwa
10 years ago
Bongo513 Aug
Mike T atoa ofa ya video 10 kwa wasanii wachanga
9 years ago
Bongo527 Nov
Wasanii wachanga kunufaika pia na uchezwaji wa nyimbo zao
![Muziki Pesa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Muziki-Pesa-300x194.jpg)
Baada ya Chama cha Haki Miliki Tanzania (COSOTA) pamoja na kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) kutangaza neema kwa wasanii kuanza kunufaika kwa kulipwa mirahaba itokanayo na kazi zao kuchezwa kwenye redio na TV, wasanii wachanga wameanza kuwa na hofu na mfumo huo.
muziki pesa
Akizungumza na 255 ya XXL kupitia Clouds FM, Afisa Mtendaji Mkuu COSOTA, Doreen Anthony alisema kila kazi ya msanii itakayosikika itatakiwa kulipiwa.
“Kwetu sisi...
9 years ago
Bongo526 Oct
Mabeste aanza kutoa semina kwa wasanii wachanga
11 years ago
Bongo511 Jul
Ali Kiba:Nawasaidia wasanii wachanga kutokana na mateso ambayo nimepata
9 years ago
Bongo511 Dec
Dully Sykes: Sitowasaidia tena wasanii wachanga, wakipata ni wepesi kusahau
![Dully](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Dully-300x194.jpg)
Dully Sykes amesema amefunga mlango wa kuwasaidia wasanii wachanga kwa madai aliowasaidia bado hawajamrudishia fadhila.
Mwimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Tuachie’ hivi karibuni akiwa na Yamoto Band, amekiambia kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV kuwa haba tena muda wa kusaidiana bali anachohitaji ni pesa.
“Up coming artists mimi siwahitaji tena kwenye studio yangu,” alisema. “Mimi nahitaji aje alipe na bei yangu ni ile ile. Nimesaidia wengi mpaka leo wanapata pesa zao na hawanikumbuki hata...
9 years ago
Bongo524 Oct
Jose Chameleone: Nasaidia wasanii wachanga kwasababu nilipokuwa msanii mdogo nilinyimwa nafasi hiyo
9 years ago
Bongo519 Nov
Steve Nyerere: Nilimwambia Magufuli kuwasaidia wasanii wa filamu ni kupoteza pesa
![11351837_431015323755764_1594616645_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11351837_431015323755764_1594616645_n-300x194.jpg)
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa Bongo Movie Club, Steve Nyerere amesema aliulizwa kwa zaidi ya mara sita na Rais Dk John Magufuli kuhusu nsaada wanaouhitaji, lakini amedai alishindwa kumjibu kutokana na wasanii wengi kutojitambua.
Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV, Steve alisema alimwambia Magufuli asipoteze pesa ya serikali kuwasaidia wasanii wa filamu.
“Sikatai,” alisema Steve. “Nilishamwambia mheshimiwa rais, utapoteza pesa zako, nilisha mwambia mstaafu na huyu mpya...