Dully Sykes: Sitowasaidia tena wasanii wachanga, wakipata ni wepesi kusahau
Dully Sykes amesema amefunga mlango wa kuwasaidia wasanii wachanga kwa madai aliowasaidia bado hawajamrudishia fadhila.
Mwimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Tuachie’ hivi karibuni akiwa na Yamoto Band, amekiambia kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV kuwa haba tena muda wa kusaidiana bali anachohitaji ni pesa.
“Up coming artists mimi siwahitaji tena kwenye studio yangu,” alisema. “Mimi nahitaji aje alipe na bei yangu ni ile ile. Nimesaidia wengi mpaka leo wanapata pesa zao na hawanikumbuki hata...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi29 Sep
9 years ago
Bongo506 Oct
Dully Sykes awabeza wasanii wanaofanya kolabo ‘za kimataifa’
10 years ago
Bongo519 Feb
Dully Sykes alia na wasanii waliomtenga kwenye msiba wa baba yake
9 years ago
Bongo518 Dec
Dully Sykes ana mashaka na sheria mpya inayozitaka TV na Redio kuwalipa wasanii
![Dully](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Dully-300x194.jpg)
Dully Sykes amedai kuingiwa na mashaka baada ya serikali kusaini sheria mpya inayovitaka vituo vya runinga na redio hapa nchini kuwalipa wasanii kwa kucheza nyimbo zao.
Dully ameiambia Bongo5 kuwa sheria hiyo ilitakiwa ipewe muda zaidi.
“Mimi naona ni mapema sana,” amesema.
“Unajua sisi tulikuwa tayari tuna mfumo wetu ambao tumeuzoea sasa huu mpya unaweza ukawa balaa kabisa,” ameonya Dully.
“Mimi sijawahi kupewa hata nafasi ya kuhudhuria vikao vyao lakini nadhani bado tunahitaji elimu...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0344.jpg)
JACQUELINE WOLPER, DULLY SYKES, LINAH SANGA, SHETA NA GELLY WA RHYMES WAIFAGILIA SKYLIGHT BAND NI IJUMAA HII TENA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68w04I4TPrbk6LpLatHqwLPNlSvHhaDa5OggxvD0wN2tMhqMy0VDiv--O4Ph*lS*5USks9fuMZlSDwe3eyDDcghH/breakingnews.gif)
TANZIA: BABA MZAZI WA DULLY SYKES, MZEE SYKES AFARIKI DUNIA
10 years ago
Vijimambo15 Feb
BABA MZAZI WA DULLY SYKES, MZEE SYKES AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com/files/8k2*97pl68yhdm8-dGrBnFsIgRGn5nB4WqMGaCVDWM1BQLmLnY9CpcLCrgtE8utF5bW7gp2yNVZjW*v6ujz5*DKV5LTE1yi4/dullynababaake.jpg?width=650)
10 years ago
Bongo515 Feb
Baba yake na Dully Sykes, Ebby Sykes afariki dunia
10 years ago
CloudsFM16 Feb
Hiki ndicho kilichomuua baba yake Dully Sykes,Mzee Ebby Sykes
Marehemu Mzee Abby Sykes ambaye ni Baba mzazi wa mwimbaji wa Bongo Fleva Prince Dullysykes, alifariki saa 8 mchana February 15 2015 akiwa hospitali ya taifa Muhimbili kwa ajili ya kupatiwa matibabu. Dullysykes ameongea na millardayo.com ikiwa ni pamoja na kuelezea kitu kilichosababisha umauti wa baba yake ambapo ameanza kwa kusema >>’Mzee alikua ana vidonda katika miguu na ndiyo chanzo kikubwa, sumu ikasambaa ikasababisha kifo chake, vidonda vilishindwa kupona kwa ajili ya moshi wa sigara...