Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dully Sykes ana mashaka na sheria mpya inayozitaka TV na Redio kuwalipa wasanii

Dully

Dully Sykes amedai kuingiwa na mashaka baada ya serikali kusaini sheria mpya inayovitaka vituo vya runinga na redio hapa nchini kuwalipa wasanii kwa kucheza nyimbo zao.

Dully

Dully ameiambia Bongo5 kuwa sheria hiyo ilitakiwa ipewe muda zaidi.
“Mimi naona ni mapema sana,” amesema.

“Unajua sisi tulikuwa tayari tuna mfumo wetu ambao tumeuzoea sasa huu mpya unaweza ukawa balaa kabisa,” ameonya Dully.

“Mimi sijawahi kupewa hata nafasi ya kuhudhuria vikao vyao lakini nadhani bado tunahitaji elimu...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Waziri Nape Nnauye afafanua jinsi wasanii chipukizi watakavyonufaika na sheria ya Radio na TV kuwalipa wasanii

Katibu Mwenezi wa Itikadi wa CCM Nape NNauye akifuatilia  mchezo kwa umakini mkubwa

Kumeibuka maswali mengi toka ilipotangazwa sheria ya wanamuziki wa Tanzania kulipwa na vituo vya Radio na TV kwa kutumia kazi zao, moja wapo ni kuhusu kama sheria hii itakuwa na manufaa kwa wasanii wachanga au itachangia kuwapa wakati mgumu zaidi wa kupata nafasi ya kazi zao kuchezwa.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye amefafanua jinsi wasanii chipuziki watakavyonufaika na utaratibu huo unaotarajiwa kuanza kutumika mwezi January,2016.

“Wapo watu wanasema kwamba...

 

9 years ago

Bongo5

Dully Sykes awabeza wasanii wanaofanya kolabo ‘za kimataifa’

Dully Sykes hazitaki mbichi hizi! Muimbaji na mtayarishaji huyo wa muziki amesema hana mpango wa kufanya kolabo na wasanii wa Afrika ambao hawajawahi hata kushiriki kwenye mashindano makubwa ya muziki duniani zikiwemo tuzo za BET. Dully ameiambia Story Tatu ya Planet Bongo kupitia East Africa Radio kuwa hatishiki na wasanii wanaofanya kolabo na wasanii wa […]

 

10 years ago

Bongo5

Dully Sykes alia na wasanii waliomtenga kwenye msiba wa baba yake

Wanasema rafiki wa dhati utamjua wakati wa dhiki na tayari Dully Sykes amechuja marafiki wa kweli na feki. Dully ambaye wiki hii alimzika baba yake, Mzee Ebby Sykes amesema hatopenda kuendelea kuwatupia lawama wasanii waliomtenga kwenye msiba huo na kwamba hilo anamuachia Mungu. “Hili suala nilishaambiwa nisizungumze tena kuhusiana na msanii ambaye hajafika, kwahiyo namwachia […]

 

9 years ago

Bongo5

Dully Sykes: Sitowasaidia tena wasanii wachanga, wakipata ni wepesi kusahau

Dully

Dully Sykes amesema amefunga mlango wa kuwasaidia wasanii wachanga kwa madai aliowasaidia bado hawajamrudishia fadhila.

Dully

Mwimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Tuachie’ hivi karibuni akiwa na Yamoto Band, amekiambia kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV kuwa haba tena muda wa kusaidiana bali anachohitaji ni pesa.

“Up coming artists mimi siwahitaji tena kwenye studio yangu,” alisema. “Mimi nahitaji aje alipe na bei yangu ni ile ile. Nimesaidia wengi mpaka leo wanapata pesa zao na hawanikumbuki hata...

 

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Bongo5

Yamoto Band waandika wimbo mpya wa Dully Sykes

Yamoto Band wameandika wimbo mpya wa Dully Sykes uitwao Tuachie. Dully Sykes amedai kuwa ameona ni muhimu kupata ladha tofauti na haoni kama kuna tatizo kuandikiwa na wasanii hao. “Nimewaachia vijana waandike ili nipate kitu tofauti,” Dully alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio. “Ni vijana ambao wanafanya vizuri kimuziki, kama watoto wanafanya […]

 

10 years ago

GPL

TANZIA: BABA MZAZI WA DULLY SYKES, MZEE SYKES AFARIKI DUNIA

Mzee Sykes enzi za uhai wake. Dully akiwa na baba yake mzazi, Mzee Sykes enzi za uhai wake. Baba…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani