introducing Wimbo mpya wa CBH na Dully Sykes.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo523 Oct
Yamoto Band waandika wimbo mpya wa Dully Sykes
Yamoto Band wameandika wimbo mpya wa Dully Sykes uitwao Tuachie. Dully Sykes amedai kuwa ameona ni muhimu kupata ladha tofauti na haoni kama kuna tatizo kuandikiwa na wasanii hao. “Nimewaachia vijana waandike ili nipate kitu tofauti,” Dully alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio. “Ni vijana ambao wanafanya vizuri kimuziki, kama watoto wanafanya […]
10 years ago
Michuzi29 Sep
9 years ago
Michuzi01 Nov
10 years ago
Michuzi09 Sep
11 years ago
Bongo528 Jul
Dully Sykes aelezea maana ya wimbo wake ‘Togola’
Dully Sykes ana wimbo mpya uitwayo Togola uliotengenezwa katika studio zake za 4.12. Akiongea na EFM hivi karibuni, Dully alidai kuwa Togola ni salam ya kabila la kizigua. “Togola maana yake kama salamu tu, kizigua hicho,” alisema Dully. Unajua mwanaume unapokuwa mwenyewe huna partner ndani ya gari inabidi uanze kutizamatizama nikasema ‘mtizame’ lakini kutizamatizama unaweza […]
11 years ago
Michuzi19 Jul
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycOYPZK9IULgw359tcQoXzDseX9x2ZjOb6EDuBDwlGC2AqjAr4SX9ZUR*dk-Wu-DtcMXLhF1JY-vxd-STVoXVpOK/10601811_510475949098767_362612024_n.jpg?width=650)
DULLY SYKES ATOLEA UFAFANUZI WIMBO WAKE WA ‘MATUSI’
Msanii wa kitambo wa muziki wa kizazi kipya, Abdul Sykes ‘Dully Sykes’. Siku chache baada ya wimbo wake wa Thats The Way uliojaa matusi yasiyoweza kuandikika gazetini kuanza kusambaa kwa kasi kwenye mitandao , msanii wa kitambo wa muziki wa kizazi kipya, Abdul Sykes ‘Dully Sykes’ amefunguka kuwa halikuwa kusudio lake kuachia wimbo huo bali ulivuja kwa bahati mbaya mitandaoni. Akipiga stori na Showbiz...
10 years ago
Bongo520 Nov
Dully Sykes asema wimbo wake wa matusi aliurekodi 2008 akiwa na ‘foolish age’, aomba usichezwe redioni
Msanii mkongwe wa Bongo fleva Dully Sykes amesema wimbo wake aliomshirikisha Maunda Zoro uliovuja hivi karibuni, ulirekodiwa miaka sita iliyopita kipindi ambacho alikuwa bado kwenye ‘foolish age’. “Hiyo ni ngoma ambayo imevuja ni ya siku nyingi sana, kwasababu kwanza hata nilikuwa sijui ilipo wapi kwasababu ni nyimbo ya kuanzia Dhahabu Records, kabla hata sijafungfua studio […]
10 years ago
GPL10 Jun
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania