Dully Sykes aelezea maana ya wimbo wake ‘Togola’
Dully Sykes ana wimbo mpya uitwayo Togola uliotengenezwa katika studio zake za 4.12. Akiongea na EFM hivi karibuni, Dully alidai kuwa Togola ni salam ya kabila la kizigua. “Togola maana yake kama salamu tu, kizigua hicho,” alisema Dully. Unajua mwanaume unapokuwa mwenyewe huna partner ndani ya gari inabidi uanze kutizamatizama nikasema ‘mtizame’ lakini kutizamatizama unaweza […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo18 Feb
DULLY SYKES AELEZEA MCHANGO WA BABA YAKE KATIKA MUZIKI WAKE
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2015/02/dullynababaake.jpg)
Kutokana na Msiba huo Tokea Juzi simu ya Dully Imekuwa haipatikani Ila leo @DjHaazu wa @MamboJamboRadio amempata na Kupiga naye Story mbili tatu kuhusiana na Marehemu Mzee Sykes kwa kifupi.Katika Mazungumzo yake Dully ameeleza kuwa Mzee Wake alikuwa anaugua Muda mrefu na...
11 years ago
GPL31 Jul
11 years ago
CloudsFM01 Aug
10 years ago
GPL09 Sep
10 years ago
Michuzi09 Sep
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycOYPZK9IULgw359tcQoXzDseX9x2ZjOb6EDuBDwlGC2AqjAr4SX9ZUR*dk-Wu-DtcMXLhF1JY-vxd-STVoXVpOK/10601811_510475949098767_362612024_n.jpg?width=650)
DULLY SYKES ATOLEA UFAFANUZI WIMBO WAKE WA ‘MATUSI’
Msanii wa kitambo wa muziki wa kizazi kipya, Abdul Sykes ‘Dully Sykes’. Siku chache baada ya wimbo wake wa Thats The Way uliojaa matusi yasiyoweza kuandikika gazetini kuanza kusambaa kwa kasi kwenye mitandao , msanii wa kitambo wa muziki wa kizazi kipya, Abdul Sykes ‘Dully Sykes’ amefunguka kuwa halikuwa kusudio lake kuachia wimbo huo bali ulivuja kwa bahati mbaya mitandaoni. Akipiga stori na Showbiz...
10 years ago
Bongo520 Nov
Dully Sykes asema wimbo wake wa matusi aliurekodi 2008 akiwa na ‘foolish age’, aomba usichezwe redioni
Msanii mkongwe wa Bongo fleva Dully Sykes amesema wimbo wake aliomshirikisha Maunda Zoro uliovuja hivi karibuni, ulirekodiwa miaka sita iliyopita kipindi ambacho alikuwa bado kwenye ‘foolish age’. “Hiyo ni ngoma ambayo imevuja ni ya siku nyingi sana, kwasababu kwanza hata nilikuwa sijui ilipo wapi kwasababu ni nyimbo ya kuanzia Dhahabu Records, kabla hata sijafungfua studio […]
10 years ago
Michuzi29 Sep
10 years ago
Michuzi15 Oct
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania