Steve Nyerere: Nilimwambia Magufuli kuwasaidia wasanii wa filamu ni kupoteza pesa
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa Bongo Movie Club, Steve Nyerere amesema aliulizwa kwa zaidi ya mara sita na Rais Dk John Magufuli kuhusu nsaada wanaouhitaji, lakini amedai alishindwa kumjibu kutokana na wasanii wengi kutojitambua.
Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV, Steve alisema alimwambia Magufuli asipoteze pesa ya serikali kuwasaidia wasanii wa filamu.
“Sikatai,” alisema Steve. “Nilishamwambia mheshimiwa rais, utapoteza pesa zako, nilisha mwambia mstaafu na huyu mpya...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UzngKzXVXGA/U77z1Z-eUpI/AAAAAAAA9MM/kyh2f3Nl448/s72-c/IMG_0851.jpg)
STEVE NYERERE AWAANDALIA CHAKULA CHA JIONI WASANII WA FILAMU NA WADAU
![](http://1.bp.blogspot.com/-UzngKzXVXGA/U77z1Z-eUpI/AAAAAAAA9MM/kyh2f3Nl448/s1600/IMG_0851.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gWeqpZitCEw/U77zsvsLWaI/AAAAAAAA9Ls/BQPPi7XcyX8/s1600/IMG_0826.jpg)
Wageni waalikwa wakisikiliza kwa makini maneno yaliyokuwa yakitolewa na Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vv9MDc9jPFA/U77zk7i7lnI/AAAAAAAA9LU/EhWMKVq2fNg/s1600/IMG_0817.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6kGn-PySNhY/U77zFM2zL6I/AAAAAAAA9LI/uvRhM0t3ZUY/s1600/IMG_0810.jpg)
10 years ago
GPLSTEVE NYERERE ACHANGISHA PESA ZA MAZISHI YA AISHA MADINDA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOXK2QH-Nro7-I-PenUacQkkc1I9JlulgNKw4t91qxPDnoqsb6A2v2bu4qkypf5GwE1tX0CwfMs0zdA9j-5Cdfy/stevevee.jpg?width=650)
STEVE NYERERE: WASANII TUWEKEZE PSPF
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
JB na Steve Nyerere wadaiwa kuvutana mashati msibani mwa Adam Kuambiana. Chanzo ni pesa
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua wasanii Jakob Steven Jb na Steve Magele Nyerere wamepiga nguvu kavukavu karibu na eneo la msiba wa marehemu Adam Kuambiana huko Bunju huku kisa kikiwa kugeukana kwenye dili la matangazo.
Kwa mujibu wa tovuti ya maskanibongotz zilisema kuwa msanii steve nyerere ndiye aliyeanza kumchokoza msanii Jb kwa kumchana baada ya kumgeuka kwenye mchongo wa matangazo ya kampuni moja ya simu iliyopo maeneo ya Moroco Jijini Dar.
Habari zaidi zilisema wakati...
10 years ago
Bongo Movies06 May
Steve Nyerere Kugombea Ubunge Awatetee Wasanii
Staa wa Bongo Movies, Steven Mangere ‘Steve Nyerere’ anasema kuwa anatarajia kuingia katika kinyang’anyiro cha Ubunge huku lengo kuu kuwa sauti ya wasanii ambao anaamini wanakosa mtu wa kuwakilisha matatizo yao katika Serikali na anaona ni wakati muafaka yeye kuingia Bungeni.
Naamini kabisa kuwa karibu na Serikali ndio mwanzo mwa kutatuliwa kwa matatizo yetu katika tasnia ya filamu na muziki pia, nitatangaza nia kuchukua moja kati majimbo makubwa kabisa hapa Dar, na kuingia Bungeni kwa kazi...
10 years ago
Bongo Movies09 Jul
Ni Wakati Wetu Wasanii Kusimama- Steve Nyerere
~~MWIGIZAJI na mtayarishaji wa filamu Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ amefunguka kwa kusema kuwa wasanii wa filamu wana nafasi kubwa katika uongozi kwa ni kivutio cha wapiga kura kwa mantiki ni wakati wao kushiriki katika hatamu za uongozi, na kujiandikisha katika daftari la mpiga kura.
"Ni kweli tunahitaji mabadiliko katika utawala lakini hilo litafanikiwa tu pale tutaposhiriki kujiandikisha katika Daftari la mpiga kura, kama nilivyosema badala ya kusimama badala ya mgombea sasa tunasimama...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PJBoKitvn9UUzP5wUrgymkIAnM4wza*KgBjCBHBTQg3*PMpL7l4fondLpx9IrMh-KL5x7z0kBziVWqixpwoJsKN/steve.jpg?width=650)
STEVE NYERERE: WASANII FEKI WANAICHAFUA BONGO MUVI
9 years ago
Bongo502 Jan
Steve Nyerere adai atatoa filamu kubwa mwaka huu
![Mwenekiti wa bongomovie Steve Nyerere](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/06/Mwenekiti-wa-bongomovie-Steve-Nyerere-200x133.jpg)
Steve Nyerere amesema baada ya kukaa kimya kwa miaka minne bila kutoa filamu, mwaka 2016 atawapa raha mashabiki wake.
“Nina miaka minne sijatengeneza wala kutoa sinema na si kwamba siuzi,” aliandika kwenye Instagram.
“Kwa mwaka nitakuwa natoa sinema 1 tu ila itakuwa zaidi ya vile tunavyofikiria, ni ubora wa hali ya juu sio kwa mwezi sinema 5, duu ni kumvuruga mteja. Maisha ni kujipanga na kujitambua unataka nini.”
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...