STEVE NYERERE: WASANII FEKI WANAICHAFUA BONGO MUVI
![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PJBoKitvn9UUzP5wUrgymkIAnM4wza*KgBjCBHBTQg3*PMpL7l4fondLpx9IrMh-KL5x7z0kBziVWqixpwoJsKN/steve.jpg?width=650)
Stori: Mayasa Mariwata MWENYEKITI wa Bongo Muvi, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema kuwa kuna baadhi ya wasanii feki wana tabia chafu zinazoichafua taasisi hiyo, jambo ambalo hawezi kukubaliana nalo. Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ akisisitiza jambo. Akipiga stori na paparazi wetu, kiongozi huyo alisema anashangazwa na wasanii hao wengi wao wakiwa wa kike ambao skendo kwao...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies19 Aug
MPASUKO Bongo movies! Steve nyerere adaiwa kuingia mitini na hela za maandalizi ya maombi ya wasanii waliofariki
Klabu ya Bongo Movie Unity imedaiwa kuingia kwenye mpasuko mkubwa baada ya baadhi ya viongozi kutangaza kuachia ngazi kwa madai ya kuwa mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amechikichia mtonyo (fedha) mwingi wa klabu kwa masilahi yake
Kwa mujibu wa chanzo makini kilicho ndani ya klabu hiyo, juzikati viongozi wote wa klabu hiyo walikaa kikao kilichoitishwa na katibu wao, William Mtitu ambacho kilikuwa na lengo la kujadili jinsi ya kumwajibisha Steve Nyerere kwa madai hayo.
“Kuna...
10 years ago
MichuziWASANII WA BONGO MUVI WAPEWA SEMINA NA TCRA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOXK2QH-Nro7-I-PenUacQkkc1I9JlulgNKw4t91qxPDnoqsb6A2v2bu4qkypf5GwE1tX0CwfMs0zdA9j-5Cdfy/stevevee.jpg?width=650)
STEVE NYERERE: WASANII TUWEKEZE PSPF
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWdl4jt0HBffYRzT3pwilu5tWjzCQo-lbb8a1IdJ*QU0zwlgKjErKsHY1Dqgl80c-vfDVyjJJseH*jU6vvmkOEBE/nyerere.jpg)
STEVE NYERERE: BONGO MOVIE WATANIKUMBUKA!
10 years ago
Bongo Movies09 Jul
Ni Wakati Wetu Wasanii Kusimama- Steve Nyerere
~~MWIGIZAJI na mtayarishaji wa filamu Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ amefunguka kwa kusema kuwa wasanii wa filamu wana nafasi kubwa katika uongozi kwa ni kivutio cha wapiga kura kwa mantiki ni wakati wao kushiriki katika hatamu za uongozi, na kujiandikisha katika daftari la mpiga kura.
"Ni kweli tunahitaji mabadiliko katika utawala lakini hilo litafanikiwa tu pale tutaposhiriki kujiandikisha katika Daftari la mpiga kura, kama nilivyosema badala ya kusimama badala ya mgombea sasa tunasimama...
10 years ago
Bongo Movies06 May
Steve Nyerere Kugombea Ubunge Awatetee Wasanii
Staa wa Bongo Movies, Steven Mangere ‘Steve Nyerere’ anasema kuwa anatarajia kuingia katika kinyang’anyiro cha Ubunge huku lengo kuu kuwa sauti ya wasanii ambao anaamini wanakosa mtu wa kuwakilisha matatizo yao katika Serikali na anaona ni wakati muafaka yeye kuingia Bungeni.
Naamini kabisa kuwa karibu na Serikali ndio mwanzo mwa kutatuliwa kwa matatizo yetu katika tasnia ya filamu na muziki pia, nitatangaza nia kuchukua moja kati majimbo makubwa kabisa hapa Dar, na kuingia Bungeni kwa kazi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
STEVE NYERERE AJIUZULU URAIS BONGO MOVIE
5 years ago
Bongo514 Feb
Bongo Movie Tuacheni Visingizio – Steve Nyerere
Baada ya maandamano ya wasanii wa filamu nchini yaliyofanyika Jumatano hii katika mtaa wa Aggrey Kariakoo, msanii wa tasnia hiyo Steve Mengele Nyerere amefunguka kuhusu tukio hilo.
Akiongea na waandishi wa habari, Steve ameeleza kuwa sababu ya yeye kutokuungana na wasanii wenzake kuandamana ni kwa kuwa jambo hilo halioni kama lina tija kwake.
“Binafsi ninalipinga hili, wasanii tunataka kutumika ndivyo sivyo. Mimi siwezi tu kuambiwa kuwa kuna maandamano nikaenda.
“Tunavyosema filamu za nje...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Steve Nyerere: Nitavunja makundi Bongo Movie
MWENYEKITI mpya wa klabu ya Bongo Movie, Steve Mengele ‘Steve Nyerere’, ameahidi kuvunja tofauti za makundi na tabaka la wasanii wakongwe na chipukizi na kuwa kitu kimoja katika kupigania mafanikio...