MPASUKO Bongo movies! Steve nyerere adaiwa kuingia mitini na hela za maandalizi ya maombi ya wasanii waliofariki
Klabu ya Bongo Movie Unity imedaiwa kuingia kwenye mpasuko mkubwa baada ya baadhi ya viongozi kutangaza kuachia ngazi kwa madai ya kuwa mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amechikichia mtonyo (fedha) mwingi wa klabu kwa masilahi yake
Kwa mujibu wa chanzo makini kilicho ndani ya klabu hiyo, juzikati viongozi wote wa klabu hiyo walikaa kikao kilichoitishwa na katibu wao, William Mtitu ambacho kilikuwa na lengo la kujadili jinsi ya kumwajibisha Steve Nyerere kwa madai hayo.
“Kuna...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies12 Jun
Steve Nyerere Awapa Makavu Baadhi ya Mastaa Wenzake wa Bongo Movies
Staa wa bongo movies, Steve Mengere ‘ Steve Nyerere’ amesema hana mpango na shutuma mbalimbali zinazosemwa na baadhi ya wasanii wenzake kwani Mungu atamlipa kutokana na uvumilivu wake
Steve nyerere aliyasema hayo na kuweka wazi kuwa kuna watu wanamchafua ambao hawana ishu yoyote hapa mjini zaidi ya kutupia picha kwenye mitao ya kijamii na kujinadi kwa nyumba nzuri na na magari ya kuazima.
“ Unajua kuna mambo kibao ya kufanya katika jamii lakini watu hawayaoni zaidi ya majungu tu hao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PJBoKitvn9UUzP5wUrgymkIAnM4wza*KgBjCBHBTQg3*PMpL7l4fondLpx9IrMh-KL5x7z0kBziVWqixpwoJsKN/steve.jpg?width=650)
STEVE NYERERE: WASANII FEKI WANAICHAFUA BONGO MUVI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYpRL*YD2pDOVEn0UVDf*nVyaOfcCa5pfjHacuIa97KsrIlpr-vH1E4tJGPGPka7ThceIGrHvHtoC11jBYFU4ToG/rose.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO ADAIWA KUINGIA MITINI NA MILIONI MOJA
10 years ago
MichuziWASANII WA BONGO MOVIE WAWAOMBEA DUA WASANII WENZAO WALIOFARIKI DUNIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS10WkojDYoi5JaJ3h87HlVjJrAkwGVRxCsHEYcZaWE7LWLDGPOxU50P3TZybEYiK2KjVUsxPNtZJGNMnMF-aAnM/LULU.jpg?width=650)
LULU ADAIWA KUKUWADIWA NA STEVE NYERERE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXbRKs8L3USnPj6YnGEqO*f5dHk6qvRZbKpQThne-MuGlSpBcp8AdYMf837eGAG2FOozd18lHnv06LrWK-hW8Xko/steve.jpg)
MIKE ADAIWA KUWA MLINZI WA STEVE NYERERE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DS3fBDgklooFGfYAU39Yw5nnnIg*NXCeR90EwfYm0pcC1SmTW4IqvaXafUN*FDLsElaKm1TZ80UvieRxYcXzaYvLBEAPrfj8/steve.jpg?width=650)
STEVE NYERERE ADAIWA ‘KULA’ KWA MEMBE, WASIRA
11 years ago
CloudsFM05 Aug
BONGO MOVIE KUWASOMEA DUA WASANII MBALIMBALI WALIOFARIKI DUNIA
Wasanii wa Bongo movie wanatarajia kufanya hitma ya wasanii mbalimbali waliofariki dunia katika uwanja wa Mnazi Mmoja tarehe 16 mwezi huu.
Akizungumza na leo tena, Mwenyekiti wa Bongo Movie,Steve Nyerere alisema kuwa katika hitma hiyo watakuwepo wageni mbalimbali kama Sheikh Mkuu wa Mkoa na wachungaji mbalimbali, Mama Salma Kikwete, Mama Pinda na wengineo na hitma hiyo itaanza kuanzia saa nne asubuhi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJOXK2QH-Nro7-I-PenUacQkkc1I9JlulgNKw4t91qxPDnoqsb6A2v2bu4qkypf5GwE1tX0CwfMs0zdA9j-5Cdfy/stevevee.jpg?width=650)
STEVE NYERERE: WASANII TUWEKEZE PSPF