STEVE NYERERE ADAIWA ‘KULA’ KWA MEMBE, WASIRA
![](http://api.ning.com:80/files/DS3fBDgklooFGfYAU39Yw5nnnIg*NXCeR90EwfYm0pcC1SmTW4IqvaXafUN*FDLsElaKm1TZ80UvieRxYcXzaYvLBEAPrfj8/steve.jpg?width=650)
Mchekeshaji maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Erick Evarist OHOOO! Mchekeshaji maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amedaiwa kupewa fedha za kampeni kutoka kwa wagombea wawili tofauti wa urais 2015, Bernard Membe na Stephen Wasira. Steve Nyerere akifafanua jambo kuhusiana na siasa pamoja na filamu. Chanzo makini kimepenyeza ubuyu kuwa, Steve hakuwa na msimamo wa kumfanyia kampeni...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS10WkojDYoi5JaJ3h87HlVjJrAkwGVRxCsHEYcZaWE7LWLDGPOxU50P3TZybEYiK2KjVUsxPNtZJGNMnMF-aAnM/LULU.jpg?width=650)
LULU ADAIWA KUKUWADIWA NA STEVE NYERERE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXbRKs8L3USnPj6YnGEqO*f5dHk6qvRZbKpQThne-MuGlSpBcp8AdYMf837eGAG2FOozd18lHnv06LrWK-hW8Xko/steve.jpg)
MIKE ADAIWA KUWA MLINZI WA STEVE NYERERE
9 years ago
Bongo Movies14 Nov
JB Afunguka Kula Chakula Chenye Sumu Yeye na Steve Nyerere
Wasanii wa filamu za Kibongo, Jacob Steven ‘JB’ na Steve Nyerere wikiendi iliyopita inasemekana walikula chakula chenye sumu,ambapo mpaka sasa Steve Nyerere bado amelazwa hospitali.
B amezungumza na 255 kupitia XXL na kusema hivi:
‘’Siku ya Ijumaa tulikula kitimoto na vyakula tofauti tofauti sasa asubuhi yake ndio tumbo likaanza kuniuma niliendesha sana nikaenda hospitali nikapewa dawa nilivyokunywa hazikunisaidia usiku wake tumbo likaniuma sijawahi kuumwa tumbo kama nilivyoumwa siku ile...
10 years ago
Bongo Movies19 Aug
MPASUKO Bongo movies! Steve nyerere adaiwa kuingia mitini na hela za maandalizi ya maombi ya wasanii waliofariki
Klabu ya Bongo Movie Unity imedaiwa kuingia kwenye mpasuko mkubwa baada ya baadhi ya viongozi kutangaza kuachia ngazi kwa madai ya kuwa mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amechikichia mtonyo (fedha) mwingi wa klabu kwa masilahi yake
Kwa mujibu wa chanzo makini kilicho ndani ya klabu hiyo, juzikati viongozi wote wa klabu hiyo walikaa kikao kilichoitishwa na katibu wao, William Mtitu ambacho kilikuwa na lengo la kujadili jinsi ya kumwajibisha Steve Nyerere kwa madai hayo.
“Kuna...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0ZWkoqMozcI/VI2G4UlV_PI/AAAAAAAG3JU/pm6TFZtyiDE/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Ukawa watikisa kwa Wasira, Sitta, Membe
![](http://4.bp.blogspot.com/-0ZWkoqMozcI/VI2G4UlV_PI/AAAAAAAG3JU/pm6TFZtyiDE/s640/unnamed%2B(27).jpg)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetamba kutwaa vijiji na vitongoji wanavyotoka mawaziri, akiwamo Stephen Wassira (Ofisi ya Rais-Mahusiano na Uratibu);Samuel Sitta (Ushirikiano wa Afrika Mashariki) na Bernard Membe (Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa), katika matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa, yaliyotangazwa jana.
Maeneo mengine, ambayo Chadema wametamba kuyatwaa na kuwa chini ya himaya yao, ni anakotoka Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe; Naibu Waziri wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2OxKpB1KtrTeS41lEFlRtc2VXqd8Q-90jo4o8UdxN0dLfrGpJ3RDrprDypaNJRO5n2pSDMsXz03KCOP6QIpxtng/madaha.jpg?width=650)
BABY MADAHA AJIBU MAPIGO KWA STEVE NYERERE
10 years ago
Bongo Movies02 Feb
Steve Nyerere Amtumia Kajala Salamu za Pole kwa Kuugua
Leo kupitia mtandaoni, mwigizaji na mwenyetiki wa Bongo Movies aliejiuzulu, Steve Nyerere amempa pole na kumtakia afya njema mwigizaji Kajala Masanja ambae anaumwa tokea majuzi.
"Napenda kukupa pole kwa kuumwa Kajala tupo pamoja naimani mungu atakusaidia na utapona na kuendelea na majukumu kama mama pole kajala pole masanjaaaaa pole sana" .
Steve aliandika mara baada ya kuweka picha ya kajala.
Nasi pia tunaungana na wadau wote pamoja na mashabiki wote kukupa pole na kukuombea upone...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4S4DUD84Vb7dKOGX2xLtSV8Up3ntckWlLP*4ifbxVRMBaoA7LjBXMZHL7Xl0t1xx-xAQMorBC9UTmPXOzw6mILjIsbKlBZ7o/APK4b.jpg?width=650)
KIFO CHA KUAMBIANA... STEVE NYERERE: PIGO KWA MADAIREKTA
10 years ago
Bongo Movies21 May
Dude, Mtitu Nitakufa kwa Mipango ya Mungu-Steve Nyerere
Naomba kumshukulu mungu kwa kila jambo yehova wewe ndio kimbilio langu. Pili kwa masikitiko makubwa nasema watashindana ila awata shinda .niongee kidogo kwa kifupi mara kwa mara nimekuwa nazalilishwa na najiuliza tatizo nini nagundua nyota .
Maishani kila binadamu mungu kampa fulsa yake so ukubali ukatae ndio hivo. Nilipigiwa simu na Mrs Adam kuambiana yani mke wa marehemu kama rafiki ndugu na msanii mwenzake kuwa anajenga kaburi la marehemu Kuambiana.
Nikajiuliza, kwa nini ajenge yeye...