Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa watikisa kwa Wasira, Sitta, Membe


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetamba kutwaa vijiji na vitongoji wanavyotoka mawaziri, akiwamo Stephen Wassira (Ofisi ya Rais-Mahusiano na Uratibu);Samuel Sitta (Ushirikiano wa Afrika Mashariki) na Bernard Membe (Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa), katika matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa, yaliyotangazwa jana.

Maeneo mengine, ambayo Chadema wametamba kuyatwaa na kuwa chini ya himaya yao, ni anakotoka Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe; Naibu Waziri wa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE ADAIWA ‘KULA’ KWA MEMBE, WASIRA

Mchekeshaji maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Erick Evarist
OHOOO! Mchekeshaji maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amedaiwa kupewa fedha za kampeni kutoka kwa wagombea wawili tofauti wa urais 2015, Bernard Membe na Stephen Wasira. Steve Nyerere akifafanua jambo kuhusiana na siasa pamoja na filamu. Chanzo makini kimepenyeza ubuyu kuwa, Steve hakuwa na msimamo wa kumfanyia kampeni...

 

10 years ago

Vijimambo

Hukumu ya kina Lowassa, Wasira, Membe Jumamosi.

Katibu wa Halmashauri Kuu (Nec), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC-CCM) Taifa, itafanya kikao cha kawaida cha siku moja Jumamosi ijayo, huku hatima ya makada sita wa chama hicho, akiwamo Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, kama walitimiza au la masharti ya adhabu ya kifungo cha miezi 12 waliyopewa na Chama, ikitarajiwa kujulikana baada ya kikao hicho cha CC.

Pia inatarajia kutoa hatima ya Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Prof. Anna...

 

10 years ago

Habarileo

Spika Sitta awakubali Ukawa kwa uigizaji

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta.VITA ya maneno kati ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta na kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), imeendelea na safari hii Sitta amewaita viongozi wa kundi hilo kuwa wana vipaji vya uigizaji kwa namna wanavyotoa matamko yao.

 

11 years ago

Habarileo

Sitta: Niko tayari kwa mazungumzo na Ukawa

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel SittaMWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema ofisi yake ipo tayari kwa mazungumzo na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), ikiwa ni njia ya kuwezesha mchakato wa kutunga Katiba kuendelea kwa pamoja na kwa amani.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa watikisa: CUF yatoa vifaa, yapeperusha bendera ya Afro Shiraz Zanzibar

>Chama cha Wananchi (CUF) jana  kilionyesha jinsi kilivyojiandaa kwa “mwaka wa uamuzi” wakati kilipogawa vifaa mbalimbali vya kusimamia kuwezesha wanachama wake kusimamia Uchaguzi Mkuu katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya watu kwenye Uwanja wa Mnazi Mmoja.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Jk awatosa Lowassa, Sitta, Membe

RAIS Jakaya Kikwete, ameamua kuwatosa kiana baadhi ya makada wenzake wazee wanaonyesha nia kutaka kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani, Tanzania Daima limebaini. Alisema vijana ndiyo chachu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Sitta: Maaskofu ni Ukawa

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta sasa ‘ametangaza rasmi vita’ dhidi ya viongozi wa dini kwa kusisitiza kuwa hayuko tayari kuwaheshimu wala kuwavumilia ambao wanatoa nyaraka alizodai kuwa hazina utukufu wa Mwenyezi Mungu kwa waumini wao.

Sitta alitoa kauli hiyo jana asubuhi bungeni wakati akisoma matangazo mbalimbali na kuamua kusoma waraka aliodai kuwa umetolewa na viongozi hao wa dini huku akiuhusisha na siasa za kundi la wajumbe waliosusia Bunge Maalum la Katiba kutoka...

 

10 years ago

Mtanzania

Jinamizi la Ukawa lamtesa Sitta

1...1..1.NA SARAH MOSSI, DODOMA
MAKADA wengine watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samuel Sitta, Profesa Sospeter Muhongo na Dk. Titus Kamani nao wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania nafasi ya urais.
Kujitosa kwa wanasiasa hao katika kinyang’anyiro hicho kunaifanya idadi ya makada wa chama hicho waliochukua fomu kufikia 13 hadi kufikia jana.

SITTA
Sitta, ambaye ni Waziri wa Uchukuzi, ndiye aliyekuwa wa pili kuchukua fomu hiyo kwa siku ya jana, akitanguliwa na Profesa Sospeter...

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta aifuata Ukawa Z’bar

Wakati viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakiweka kambi Zanzibar, Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana naye alitumia siku nzima visiwani humo akikutana na baadhi ya viongozi wa Serikali, katika kile kinachotafsiriwa kuwa kulinusuru Bunge hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani