Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hukumu ya kina Lowassa, Wasira, Membe Jumamosi.

Katibu wa Halmashauri Kuu (Nec), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC-CCM) Taifa, itafanya kikao cha kawaida cha siku moja Jumamosi ijayo, huku hatima ya makada sita wa chama hicho, akiwamo Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, kama walitimiza au la masharti ya adhabu ya kifungo cha miezi 12 waliyopewa na Chama, ikitarajiwa kujulikana baada ya kikao hicho cha CC.

Pia inatarajia kutoa hatima ya Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Prof. Anna...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hukumu ya kina Mramba yaiva

Dar es Salaam. Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu itatoa hukumu katika kesi inayowakabili mawaziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na wa Nishati na Madini, Daniel Yona pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Monja, Juni 30, mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Hukumu ya kesi ya kina Makunga leo

Mahakama ya Hakimun Mkazi Kisutu yawaachia huru punde Meneja Uendelezaji Biashara wa Mwananchi Communication (MCL), Theophil Makunga, Aliyekuwa Mhariri Mtendaji  wa gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba.

 

10 years ago

Raia Tanzania

DPP akusudia kukata rufaa hukumu ya kina Mramba

WAKATI waliokuwa mawaziri katika serikali ya awamu ya tatu, Basil Mramba na Daniel Yona, wakieleza kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela, Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), pia amewasilisha Mahakama Kuu kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu hiyo.

Mramba aliyekuwa Waziri wa Fedha na Yona wa Nishati na Madini, walihukumiwa adhabu hiyo Julai 6, mwaka huu na

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Cyprian Mkeha, alisema DPP...

 

5 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZZZ....: HUKUMU YA KESI YA KINA MBOWE YAAHIRISHWA KWA MUDA

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akilipowasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza Hukumu ya kesi ya uchochezi inayowakabili vigogo nane wa Chadema iliyokuwa ianze kusomwa saa nne na nusu asubuhi hii leo Machi 10, 2020. Hukumu hiyo imeahirishwa hadi saa saba na nusu mchana leo.Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akiteta jambo na Mshauri Mkuu wa Chama cha siasa nchini Tanzania cha ACT- Wazalendo,...

 

10 years ago

Vijimambo

Ukawa watikisa kwa Wasira, Sitta, Membe


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetamba kutwaa vijiji na vitongoji wanavyotoka mawaziri, akiwamo Stephen Wassira (Ofisi ya Rais-Mahusiano na Uratibu);Samuel Sitta (Ushirikiano wa Afrika Mashariki) na Bernard Membe (Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa), katika matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa, yaliyotangazwa jana.

Maeneo mengine, ambayo Chadema wametamba kuyatwaa na kuwa chini ya himaya yao, ni anakotoka Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe; Naibu Waziri wa...

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE ADAIWA ‘KULA’ KWA MEMBE, WASIRA

Mchekeshaji maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Erick Evarist
OHOOO! Mchekeshaji maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amedaiwa kupewa fedha za kampeni kutoka kwa wagombea wawili tofauti wa urais 2015, Bernard Membe na Stephen Wasira. Steve Nyerere akifafanua jambo kuhusiana na siasa pamoja na filamu. Chanzo makini kimepenyeza ubuyu kuwa, Steve hakuwa na msimamo wa kumfanyia kampeni...

 

10 years ago

Mwananchi

Hekaheka kwa Lowassa, Wasira kuwa ‘live’ kesho

Arusha/Morogoro. Wakati mji wa Arusha umekumbwa na hekaheka nyingi kwa ajili ya maandalizi ya shughuli ya leo ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kutangaza nia ya kugombea urais, kada mwingine wa CCM, Steven Wasira amesema ataonekana moja kwa moja kwenye televisheni mbili wakati akitangaza nia kesho.

 

10 years ago

Mtanzania

CCM yajichimbia kusuka ripoti ya kina Lowassa

kikweteNa Esther Mbussi, Dar es Salaam
KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC), itategua kitendawili dhidi ya makada sita waliopewa adhabu ya mwaka mmoja kwa madai ya kuanza kampeni za kuwania urais ndani ya chama hicho kabla ya wakati.
Kutokana na hatua hiyo katika kikao hicho kitakachofanyika Februari 28, Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM, Philip Mangula, atawasilisha ripoti yake ya tathmini dhidi ya makada hao kama walitekeleza adhabu waliyopewa na chama ama la.
Makada hao walitakiwa...

 

10 years ago

Raia Mwema

Kamari waliyoicheza kina Mbowe na Lowassa isipolipa watalipa?

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeweka hatima yake, hadhi yake, na sifa zake zote m

Lula wa Ndali Mwananzela

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani