Hukumu ya kina Mramba yaiva
Dar es Salaam. Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu itatoa hukumu katika kesi inayowakabili mawaziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na wa Nishati na Madini, Daniel Yona pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Monja, Juni 30, mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
DPP akusudia kukata rufaa hukumu ya kina Mramba
WAKATI waliokuwa mawaziri katika serikali ya awamu ya tatu, Basil Mramba na Daniel Yona, wakieleza kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela, Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), pia amewasilisha Mahakama Kuu kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu hiyo.
Mramba aliyekuwa Waziri wa Fedha na Yona wa Nishati na Madini, walihukumiwa adhabu hiyo Julai 6, mwaka huu na
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Cyprian Mkeha, alisema DPP...
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Hukumu ya Okwi yaiva
10 years ago
Mtanzania30 May
Kina Mramba kuhukumiwa Juni 30
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
HUKUMU ya kesi inayowakabili aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba, aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona na wenzao inatarajiwa kusomwa Juni 30, mwaka huu, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Uamuzi huo ulifikiwa jana, mbele ya jopo la mahakimu watatu, likiongozwa na Jaji John Utamwa, baada ya kupangwa kwa tarehe za majumuisho ya mwisho wa kesi hiyo. Mahakimu wengine katika kesi hiyo ni Sam Rumanyika na Saul Kinemela.
Mbali na Mramba na Yona,...
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Kina Mramba kuendelea kujitetea
10 years ago
Mwananchi10 Jul
Serikali kuwakatia rufaa kina Mramba
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Rufaa ya kina Mramba kujulikana leo
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
HUKUMU ya rufaa iliyokatwa na waliokuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, kupinga adhabu ya vifungo vya miaka mitatu jela inatolewa leo.
Jaji wa Mahakama Kuu, Projest Rugazia wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, anatarajiwa kusoma hukumu hiyo baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili.
Mahakama hiyo pia itatoa hukumu ya rufani iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya...
10 years ago
Habarileo30 Jun
Hukumu ya Mramba na wenzake leo
HUKUMU ya kesi ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayowakabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba, Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja inatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
10 years ago
GPLHUKUMU YA MRAMBA, MGONJA NA YONA YAPIGWA KALENDA
10 years ago
Habarileo04 Jul
Hukumu dhidi ya akina Mramba yapigwa kalenda
HUKUMU ya kesi ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayomkabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na wenzake imeahirishwa kwa mara ya pili kwa sababu hakimu anaumwa.