Rufaa ya kina Mramba kujulikana leo
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
HUKUMU ya rufaa iliyokatwa na waliokuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, kupinga adhabu ya vifungo vya miaka mitatu jela inatolewa leo.
Jaji wa Mahakama Kuu, Projest Rugazia wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, anatarajiwa kusoma hukumu hiyo baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili.
Mahakama hiyo pia itatoa hukumu ya rufani iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Jul
Serikali kuwakatia rufaa kina Mramba
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
DPP akusudia kukata rufaa hukumu ya kina Mramba
WAKATI waliokuwa mawaziri katika serikali ya awamu ya tatu, Basil Mramba na Daniel Yona, wakieleza kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela, Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), pia amewasilisha Mahakama Kuu kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu hiyo.
Mramba aliyekuwa Waziri wa Fedha na Yona wa Nishati na Madini, walihukumiwa adhabu hiyo Julai 6, mwaka huu na
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Cyprian Mkeha, alisema DPP...
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Kina Mramba kuendelea kujitetea
10 years ago
Mtanzania30 May
Kina Mramba kuhukumiwa Juni 30
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
HUKUMU ya kesi inayowakabili aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba, aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona na wenzao inatarajiwa kusomwa Juni 30, mwaka huu, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Uamuzi huo ulifikiwa jana, mbele ya jopo la mahakimu watatu, likiongozwa na Jaji John Utamwa, baada ya kupangwa kwa tarehe za majumuisho ya mwisho wa kesi hiyo. Mahakimu wengine katika kesi hiyo ni Sam Rumanyika na Saul Kinemela.
Mbali na Mramba na Yona,...
10 years ago
Mwananchi30 May
Hukumu ya kina Mramba yaiva
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--8a-8fT_pRo/Vg0yIJrYB0I/AAAAAAAH8Js/10-w1bAq-FI/s72-c/IMG-20150706-WA0017.jpg)
STOP PRESS: HUKUMU YA RUFAA YA MRAMBA NA YONA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/--8a-8fT_pRo/Vg0yIJrYB0I/AAAAAAAH8Js/10-w1bAq-FI/s640/IMG-20150706-WA0017.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HuBs_3eKH8Y/Vg6MavKceXI/AAAAAAAH8Zg/d15dk_eC-r0/s72-c/yonamrambabc.jpg)
STOP PRESS: RUFAA ZA MRAMBA NA YONA ZAGONGA MWAMBA, KUTUMIKIA MIAKA 2 BADALA YA MITATU, FAINI YA MILIONI 5 YAFUTWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-HuBs_3eKH8Y/Vg6MavKceXI/AAAAAAAH8Zg/d15dk_eC-r0/s640/yonamrambabc.jpg)
Na Mwene Saidi wa Globu ya Jamii
Rufaa iliyokatwa na mawaziri wa zamani Basil Mramba (kushoto) na Daniel Yonah imegonga mwamba katika Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam leo, baada ya kuwapunguzia mwaka mmoja na kuwaondolea faini ya milioni 5 na kutakiwa kuendelea kutumikia kifungo cha miaka miwili baada ya mahakama hiyo kuona hakuna ushahidi wa kuthibitisha shitaka la kusababisha hasara ya Sh. bilioni 11.7.
Kadhalika, mahakama hiyo imesema Mahakama ya Kisutu, ilikuwa sahihi...
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Hatima ya Rage kujulikana leo
9 years ago
Habarileo16 Aug
Mgombea urais wa ACT kujulikana leo
MGOMBEA urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, inatarajiwa kujulikana leo baada ya Kamati Kuu ya chama hicho kupendekeza jina la mgombea atakayepeperusha bendera ya chama hicho.