Mgombea urais wa ACT kujulikana leo
MGOMBEA urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, inatarajiwa kujulikana leo baada ya Kamati Kuu ya chama hicho kupendekeza jina la mgombea atakayepeperusha bendera ya chama hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Mgombea urais ACT kujulikana Agosti 10
Chama cha ACT - Wazalendo kinatarajia kumtagaza mgombea wake wa urais wa Agosti 10, imefahamika.
9 years ago
GPLACT YATAMBULISHA MGOMBEA URAIS NA MGOMBEA MWENZA
Prof. Mkumbo akimkaribisha mgombea urais, Bi. Anna Elisha. Bi Anna Elisha akizungumza na wanachama muda mfupi baada ya kutambulishwa. Kabwe akizungumza na wanachama.…
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
10 years ago
Habarileo15 Jun
Mgombea Urais wa ACT hadharani Agosti 10
MGOMBEA wa Urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu kupitia chama cha ACT-Wazalendo, inatarajia kujulikana Agosti 10 mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Mgombea urais aichanganya ACT- Wazalendo
Mchakato wa kumpata mgombea urais umeendelea kukichanganya Chama cha ACT – Wazalendo na sasa kimelazimika kuanza upya vikao vya kumpata mgombea mwingine atakayepeperusha bendera ya urais kwa tiketi ya chama hicho.
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Mgombea urais ACT atoa somo
Mgombea urais wa ACT - Wazalendo, Anna Mghwira, amewataka Watanzania hususan vijana kusoma Sheria za nchi na kuzielewa ili kupambana na baadhi ya viongozi wanaotumia vyeo vyao kuwanyima haki zao za msingi.
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Msafara wa mgombea urais wa ACT wazuiwa
Msafara wa mgombea urais kupitia chama cha ACT- Wazalendo umezuiwa kwa muda na wananchi wa Wilaya ya Nachingwea, wakidai kuwa na wao wanahitaji baraka kutoka kwa mgombea huyo baada ya kuzikosa kwa muda mrefu.
9 years ago
Mwananchi26 Aug
Mgombea ACT achukua fomu urais Zanzibar
Mwanachama wa ACT – Wazalendo, Khamis Iddi Lila amechukua fomu za kuwania urais wa Zanzibar akieleza vipaumbele vyake kuwa ni mambo yote wanayowahusu wananchi, ikiwamo elimu.
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Anna Mghwira mgombea urais ACT-Wazalendo
Hatimaye Chama cha ACT – Wazalendo kimempitisha mwenyekiti wake, Anna Mghwira (56) kuwania urais baada ya mshauri wake, Profesa Kitila Mkumbo aliyekuwa amechukuliwa fomu kukataa kubeba jukumu hilo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania