STOP PRESS: HUKUMU YA RUFAA YA MRAMBA NA YONA KESHO
Mawaziri wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona siku walipohukumiwa kifungo cha miaka mitatu na faini ya milioni tano baada ya kukutwa na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka Mwezi Julai mwaka huu. Picha ya maktabaNa Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Dar es Salaam. MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam kesho imepanga kutoa hukumu ya rufaa dhidi ya mawaziri wa zamani, Bazil Mramba na Daniel Yona waliohukumiwa kifungo cha miaka mitatu na faini ya milioni tano baada ya kukutwa na hatia ya matumizi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziSTOP PRESS: RUFAA ZA MRAMBA NA YONA ZAGONGA MWAMBA, KUTUMIKIA MIAKA 2 BADALA YA MITATU, FAINI YA MILIONI 5 YAFUTWA
Na Mwene Saidi wa Globu ya Jamii
Rufaa iliyokatwa na mawaziri wa zamani Basil Mramba (kushoto) na Daniel Yonah imegonga mwamba katika Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam leo, baada ya kuwapunguzia mwaka mmoja na kuwaondolea faini ya milioni 5 na kutakiwa kuendelea kutumikia kifungo cha miaka miwili baada ya mahakama hiyo kuona hakuna ushahidi wa kuthibitisha shitaka la kusababisha hasara ya Sh. bilioni 11.7.
Kadhalika, mahakama hiyo imesema Mahakama ya Kisutu, ilikuwa sahihi...
10 years ago
GPLHUKUMU YA MRAMBA, MGONJA NA YONA YAPIGWA KALENDA
10 years ago
GPLHALI ILIVYOKUWA JANA BAADA YA HUKUMU YA MRAMBA, YONA
10 years ago
GPLHUKUMU YA YONA, MRAMBA NA MGONJA KUSIKILIZWA MUDA MFUPI UJAO
10 years ago
GPLHUKUMU YA MRAMBA, YONA NA MGONJA YAAHIRISHWA HADI JULAI 3, 2015
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
DPP akusudia kukata rufaa hukumu ya kina Mramba
WAKATI waliokuwa mawaziri katika serikali ya awamu ya tatu, Basil Mramba na Daniel Yona, wakieleza kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela, Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), pia amewasilisha Mahakama Kuu kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu hiyo.
Mramba aliyekuwa Waziri wa Fedha na Yona wa Nishati na Madini, walihukumiwa adhabu hiyo Julai 6, mwaka huu na
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Cyprian Mkeha, alisema DPP...
10 years ago
GPLMRAMBA, YONA WAKESHA...
10 years ago
TheCitizen08 Jul
Mramba, Yona jailed
9 years ago
IPPmedia03 Oct
Mramba, Yona get jail relief.
Mramba, Yona get jail relief.
IPPmedia
The High Court has partially withheld appeals by former cabinet Ministers Basil Mramba (75) and Daniel Yona (76), reducing three-year imprisonment term to two years and overturning the Sh5m fine sentence ruled by the Kisutu Magistrate Court earlier in ...