Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STOP PRESS: HUKUMU YA RUFAA YA MRAMBA NA YONA KESHO

Mawaziri  wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona siku walipohukumiwa kifungo cha miaka mitatu na faini ya milioni tano baada ya kukutwa na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka Mwezi Julai mwaka huu. Picha ya maktabaNa Mwene Said wa Blogu ya Jamii, Dar es Salaam. MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam kesho imepanga kutoa hukumu ya rufaa dhidi ya mawaziri  wa zamani, Bazil Mramba na Daniel Yona waliohukumiwa kifungo cha miaka mitatu na faini ya milioni tano baada ya kukutwa na hatia ya matumizi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: RUFAA ZA MRAMBA NA YONA ZAGONGA MWAMBA, KUTUMIKIA MIAKA 2 BADALA YA MITATU, FAINI YA MILIONI 5 YAFUTWA


Na Mwene Saidi wa Globu ya Jamii
Rufaa iliyokatwa na mawaziri wa zamani  Basil Mramba (kushoto) na Daniel Yonah imegonga mwamba katika Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam leo, baada ya kuwapunguzia mwaka mmoja na kuwaondolea faini ya milioni 5 na kutakiwa kuendelea kutumikia kifungo cha miaka miwili  baada ya mahakama hiyo kuona hakuna ushahidi wa kuthibitisha shitaka la kusababisha hasara ya Sh. bilioni 11.7.

Kadhalika, mahakama hiyo imesema Mahakama ya Kisutu, ilikuwa sahihi...

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA MRAMBA, MGONJA NA YONA YAPIGWA KALENDA

  Baadhi ya wasikilizaji wa kesi hiyo wakiwa kwenye chumba maalum kabla ya kuingia mahakamani. Ndugu wa Mgonja wakiteta jambo. Mgonja akiwafuatiwa na Mramba kwa nyuma wakitoka mahakamani muda mfupi baada ya kesi hiyo kuahirishwa.…

 

10 years ago

GPL

HALI ILIVYOKUWA JANA BAADA YA HUKUMU YA MRAMBA, YONA

Baadhi ya ndugu na jamaa wa Basil Mramba na Daniel Yona wakiondoka katika Mahakama ya Kisutu kwa masikitiko makubwa baada ya kupelekwa gerezani. Anayedaiwa kuwa mke wa Basil Mramba, akiwa kwenye gari tayari kuondoka Mahakamani hapo.…

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA YONA, MRAMBA NA MGONJA KUSIKILIZWA MUDA MFUPI UJAO

Gray Mgonja (mbele) akiwa na Basil Mramba (wa pili kushoto) wakiwa eneo la mahakama. HUKUMU ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Gray Mgonja na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, itaanza kusikilizwa muda mfupi ujao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Watuhumiwa wote watatu tayari wamewasili mahakamani wakisubiri hukumu yao kuanza kusomwa...

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA MRAMBA, YONA NA MGONJA YAAHIRISHWA HADI JULAI 3, 2015

Basir Mramba (kulia), Gray Mgonja (kushoto) na Daniel Yona wakiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar. Habari: Denis Mtima na Brighton Masalu / GPL HUKUMU ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basir Mramba, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Gray Mgonja na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona imeahirishwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam hadi Julai 3, mwaka huu. Vigogo hao wanakabiliwa na...

 

10 years ago

Raia Tanzania

DPP akusudia kukata rufaa hukumu ya kina Mramba

WAKATI waliokuwa mawaziri katika serikali ya awamu ya tatu, Basil Mramba na Daniel Yona, wakieleza kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu ya kifungo cha miaka mitatu jela, Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), pia amewasilisha Mahakama Kuu kusudio la kukata rufaa kupinga adhabu hiyo.

Mramba aliyekuwa Waziri wa Fedha na Yona wa Nishati na Madini, walihukumiwa adhabu hiyo Julai 6, mwaka huu na

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Hakimu Mfawidhi wa mahakama hiyo, Cyprian Mkeha, alisema DPP...

 

10 years ago

GPL

MRAMBA, YONA WAKESHA...

Mramba (kushoto) akiteta jambo na wakili wake, Peter Swai baada ya Mahakama kumhukumu miaka mitatu jela na faini ya shilingi milioni tano. Harun sanchawa na denis mtima
JOTO ya jiwe! Wafungwa wawili wapya katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam, Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na mwenzake wa Nishati na Madini, Daniel Yona, wanadaiwa kukesha huku wakilia katika siku wakianza kutumikia kifungo chao cha miaka...

 

10 years ago

TheCitizen

Mramba, Yona jailed

Dar es Salaam. There were audible groans of disbelief and visible freely-flowing tears at the Kisutu Resident Magistrate’s Court yesterday after former cabinet ministers Basil Mramba, 75, and Daniel Yona, 76, were sentenced to serve three years in jail for abuse of office and causing Sh11.7 billion loss to the government.

 

9 years ago

IPPmedia

Mramba, Yona get jail relief.


Mramba, Yona get jail relief.
IPPmedia
The High Court has partially withheld appeals by former cabinet Ministers Basil Mramba (75) and Daniel Yona (76), reducing three-year imprisonment term to two years and overturning the Sh5m fine sentence ruled by the Kisutu Magistrate Court earlier in ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani