HALI ILIVYOKUWA JANA BAADA YA HUKUMU YA MRAMBA, YONA
Baadhi ya ndugu na jamaa wa Basil Mramba na Daniel Yona wakiondoka katika Mahakama ya Kisutu kwa masikitiko makubwa baada ya kupelekwa gerezani. Anayedaiwa kuwa mke wa Basil Mramba, akiwa kwenye gari tayari kuondoka Mahakamani hapo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLHALI ILIVYOKUWA ENEO LA SINZA-AFRIKA SANA BAADA YA KUNYESHA MVUA KUBWA JANA
Wananchi wakivushwa na lori eneo la Sinza-Afrika lililojaa maji kutokana na mvua kubwa iliyonyesha jana. Magari yakipita kwa tabu eneo hilo kutokana na mvua kubwa zinazoendea kunyesha. (Picha na Makongoro Oging /…
10 years ago
GPLHUKUMU YA MRAMBA, MGONJA NA YONA YAPIGWA KALENDA
 Baadhi ya wasikilizaji wa kesi hiyo wakiwa kwenye chumba maalum kabla ya kuingia mahakamani. Ndugu wa Mgonja wakiteta jambo. Mgonja akiwafuatiwa na Mramba kwa nyuma wakitoka mahakamani muda mfupi baada ya kesi hiyo kuahirishwa.…
10 years ago
Michuzi
STOP PRESS: HUKUMU YA RUFAA YA MRAMBA NA YONA KESHO

10 years ago
GPLHUKUMU YA YONA, MRAMBA NA MGONJA KUSIKILIZWA MUDA MFUPI UJAO
Gray Mgonja (mbele) akiwa na Basil Mramba (wa pili kushoto) wakiwa eneo la mahakama. HUKUMU ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Gray Mgonja na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, itaanza kusikilizwa muda mfupi ujao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Watuhumiwa wote watatu tayari wamewasili mahakamani wakisubiri hukumu yao kuanza kusomwa...
10 years ago
GPL
HUKUMU YA MRAMBA, YONA NA MGONJA YAAHIRISHWA HADI JULAI 3, 2015
Basir Mramba (kulia), Gray Mgonja (kushoto) na Daniel Yona wakiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar. Habari: Denis Mtima na Brighton Masalu / GPL HUKUMU ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basir Mramba, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Gray Mgonja na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona imeahirishwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam hadi Julai 3, mwaka huu. Vigogo hao wanakabiliwa na...
10 years ago
Vijimambo
11 years ago
Michuzi
HALI ILIVYOKUWA BAADA YA MVUA YA LEO MCHANA

Mchana wa leo imeshesha mvua kubwa kiasi na kupelekea maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam kuwa kama ionekanavyo pichani.


BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi31 Dec
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania