BREAKING NYUZZZZZZZ....: HUKUMU YA KESI YA KINA MBOWE YAAHIRISHWA KWA MUDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GMYzXkxnQso/XmdDmykXxeI/AAAAAAALiWQ/kJgKQ-sN688nP_PLTbcDPoxjCkVuCWWHACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-10%2Bat%2B10.20.47.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akilipowasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza Hukumu ya kesi ya uchochezi inayowakabili vigogo nane wa Chadema iliyokuwa ianze kusomwa saa nne na nusu asubuhi hii leo Machi 10, 2020. Hukumu hiyo imeahirishwa hadi saa saba na nusu mchana leo.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akiteta jambo na Mshauri Mkuu wa Chama cha siasa nchini Tanzania cha ACT- Wazalendo,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Hukumu ya kesi ya kina Makunga leo
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Kesi ya kina Mbowe, Dk Slaa sasa Des 30
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mbowe ashinda rufaa dhidi ya hukumu kesi ya shambulio
11 years ago
MichuziMBOWE ASHIKILIWA KWA MUDA NA JESHI LA POLISI IRINGA, AACHIWA KWA KOSA LA KUZIDISHA MUDA KWENYE MKUTANO WAO WA HADHARA.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-svYpaVwVnOM/VVNLwLeOb7I/AAAAAAAHXCU/czWmR7-cn4U/s72-c/Burundi_s_President_Pierre_Nkurunziza.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZZ......: Rais Nkurunzinza wa Burundi ''apinduliwa''
![](http://2.bp.blogspot.com/-svYpaVwVnOM/VVNLwLeOb7I/AAAAAAAHXCU/czWmR7-cn4U/s400/Burundi_s_President_Pierre_Nkurunziza.jpg)
Meja Jenerali Godefroid Niyombareh amewaambia waandishi wa habari mjini Bujumubura, kuwa kumeundwa kamati maalum ya kuiokoa Burundi itakayotawala taifa hilo kwa kipindi cha mpwito.
Kulingana na taarifa iliyopeperushwa na redio Isanganiro, serikali ya Nkurunziza imeon'golewa madarakani.
Meja Generali Niyombareh amesema wamechukua hatua hiyo baada...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uXIVumFF7qg/VkNMCfINl4I/AAAAAAAIFVA/xumeSkVkzBQ/s72-c/20151111060808.jpg)
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZZZ: MOJA YA JENGO LA MABIBO HOSTEL JIJINI DAR LASHIKA MOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-hXysdPENCTI/VQaJJrM-cTI/AAAAAAAHKqo/IX2COUNO3zA/s1600/IMG-20150316-WA0001.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HUKUMU YA LIYUMBA YAAHIRISHWA HADI KESHO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gr9WRGiyCjA/VYUGxv7e0FI/AAAAAAAAwBY/d_g0OdjcWLI/s72-c/napee.png)
Freeman Mbowe........Amtaka AJIUZULU Maana Amekiabisha Chama Kwa Hukumu Aliyopewa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-gr9WRGiyCjA/VYUGxv7e0FI/AAAAAAAAwBY/d_g0OdjcWLI/s640/napee.png)
Mbowe alihukumiwa hivi karibuni kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh milioni moja baada ya kutiwa hatiani na mahakama mkoani Kilimanjaro kwa kosa la kumpiga Msimamizi wa Uchaguzi mwaka 2010.Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika Kata...