Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi ya kina Mbowe, Dk Slaa sasa Des 30

Kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wanachama 63 wa Chadema, akiwamo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe kupinga kushtakiwa kwa kufanya maandamano na mikusanyiko isiyo halali, imepangwa kutajwa Desemba 30 katika Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZZZ....: HUKUMU YA KESI YA KINA MBOWE YAAHIRISHWA KWA MUDA

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akilipowasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusikiliza Hukumu ya kesi ya uchochezi inayowakabili vigogo nane wa Chadema iliyokuwa ianze kusomwa saa nne na nusu asubuhi hii leo Machi 10, 2020. Hukumu hiyo imeahirishwa hadi saa saba na nusu mchana leo.Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akiteta jambo na Mshauri Mkuu wa Chama cha siasa nchini Tanzania cha ACT- Wazalendo,...

 

10 years ago

Raia Mwema

Kamari waliyoicheza kina Mbowe na Lowassa isipolipa watalipa?

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeweka hatima yake, hadhi yake, na sifa zake zote m

Lula wa Ndali Mwananzela

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kesi ya kina Lipumba kusikilizwa Julai 29

KESI inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake 30, itasikilizwa siku tatu mfululizo kuanzia Julai 29, mwaka huu.

Kesi hiyo inasikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Cyprian Mkeha, ambapo itaanza kusikilizwa Julai 29 hadi 31.

Wakili wa Serikali Mkuu Tumaini Kweka, alidai mahakamani hapo jana kwamba, shauri lilipangwa kwa kutajwa na kwamba, lilikwisha kupangiwa tarehe ya kusikilizwa.

Washitakiwa watano katika kesi hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Hukumu ya kesi ya kina Makunga leo

Mahakama ya Hakimun Mkazi Kisutu yawaachia huru punde Meneja Uendelezaji Biashara wa Mwananchi Communication (MCL), Theophil Makunga, Aliyekuwa Mhariri Mtendaji  wa gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba.

 

10 years ago

Vijimambo

Hakimu ajitoa kesi ya kina Sheikh Farid,

Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) visiwani Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed
Hakimu Mkazi wa Mahakama Kisutu jijini Dar es Salaam, Hellen Riwa, amejitoa kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) visiwani Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed na wenzake 21.

Hakimu Riwa amechukua hatua hiyo wakati upande wa washtakiwa ukiitaka mahakama imbadilishe kwa kutokuwa na imani naye.

Oktoba 1, mwaka huu, Hakimu Riwa alitoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Tatizo ni Mbowe, Dk. Slaa’

ILI kudhibiti nguvu ya upinzani na kujihakikishia ushindi katika uchaguzi ujao, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuwekeza katika mikakati michafu dhidi ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

11 years ago

Michuzi

UPELELEZI WA KESI YA KINA PAPA MSOFE BADO UNAENDELEA

Na Mwenekaya Said,Globu ya Jamii - Kisutu 
KESI  ya  mauaji ya kukusudia  inayomkabili Mfanyabiashara maarufu nchini,Marijan Abubakar maarufu kama Papa Msofe (50) na mwenzake Makongoro Joseph Nyerere katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, bado inafanyiwa kazi  kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) kwa ajili ya hatua zaidi.
Kesi hiyo imeahirishwa leo, na Hakimu Mkazi Hallen Riwa amesema kwa kuwa jalada la kesi liko kwa DPP na kwamba washtakiwa wanatakiwa kuwa na...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Slaa kachomokea dirishani — Mbowe

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema kilichofanywa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbrod Slaa, ni sawa na msafiri kutokea dirishani wakati treni ikiendelea na safari.

Akimnadi mgombea urais wa chama hicho anayeungwa mkono na vyama vingine vitatu vya upinzani, maarufu kwa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ndua, Kata ya Kizwite mjini Sumbawanga, Mbowe alisema katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto ‘awalipua’ Dk Slaa, Mbowe

Mbunge wa Kigoma Kaskazini,Zitto Kabwe, amejibu mashambulizi kwa viongozi wa Chadema, kutokana na kile alichosema wanazunguka na kusema maneno yasiyo ya ukweli.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani