Kesi ya kina Mbowe, Dk Slaa sasa Des 30
Kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na wanachama 63 wa Chadema, akiwamo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe kupinga kushtakiwa kwa kufanya maandamano na mikusanyiko isiyo halali, imepangwa kutajwa Desemba 30 katika Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GMYzXkxnQso/XmdDmykXxeI/AAAAAAALiWQ/kJgKQ-sN688nP_PLTbcDPoxjCkVuCWWHACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-10%2Bat%2B10.20.47.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZZ....: HUKUMU YA KESI YA KINA MBOWE YAAHIRISHWA KWA MUDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GMYzXkxnQso/XmdDmykXxeI/AAAAAAALiWQ/kJgKQ-sN688nP_PLTbcDPoxjCkVuCWWHACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-10%2Bat%2B10.20.47.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-EQC4p1c_S4M/XmdDoNnvXGI/AAAAAAALiWc/VQmgXobxQ_AmK-1Cd2ndezzD1BPQ4XF5QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-10%2Bat%2B10.20.52.jpg)
10 years ago
Raia Mwema05 Aug
Kamari waliyoicheza kina Mbowe na Lowassa isipolipa watalipa?
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeweka hatima yake, hadhi yake, na sifa zake zote m
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Kesi ya kina Lipumba kusikilizwa Julai 29
KESI inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake 30, itasikilizwa siku tatu mfululizo kuanzia Julai 29, mwaka huu.
Kesi hiyo inasikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Cyprian Mkeha, ambapo itaanza kusikilizwa Julai 29 hadi 31.
Wakili wa Serikali Mkuu Tumaini Kweka, alidai mahakamani hapo jana kwamba, shauri lilipangwa kwa kutajwa na kwamba, lilikwisha kupangiwa tarehe ya kusikilizwa.
Washitakiwa watano katika kesi hiyo...
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Hukumu ya kesi ya kina Makunga leo
10 years ago
Vijimambo31 Dec
Hakimu ajitoa kesi ya kina Sheikh Farid,
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Farid-31Dec2014.jpg)
Hakimu Mkazi wa Mahakama Kisutu jijini Dar es Salaam, Hellen Riwa, amejitoa kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) visiwani Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed na wenzake 21.
Hakimu Riwa amechukua hatua hiyo wakati upande wa washtakiwa ukiitaka mahakama imbadilishe kwa kutokuwa na imani naye.
Oktoba 1, mwaka huu, Hakimu Riwa alitoa...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
‘Tatizo ni Mbowe, Dk. Slaa’
ILI kudhibiti nguvu ya upinzani na kujihakikishia ushindi katika uchaguzi ujao, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuwekeza katika mikakati michafu dhidi ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rv0garHHy2M/Uwydlg7E4zI/AAAAAAAFPeY/elZXrwA5ycE/s72-c/DSC_7423.jpg)
UPELELEZI WA KESI YA KINA PAPA MSOFE BADO UNAENDELEA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rv0garHHy2M/Uwydlg7E4zI/AAAAAAAFPeY/elZXrwA5ycE/s1600/DSC_7423.jpg)
KESI ya mauaji ya kukusudia inayomkabili Mfanyabiashara maarufu nchini,Marijan Abubakar maarufu kama Papa Msofe (50) na mwenzake Makongoro Joseph Nyerere katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, bado inafanyiwa kazi kwa Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) kwa ajili ya hatua zaidi.
Kesi hiyo imeahirishwa leo, na Hakimu Mkazi Hallen Riwa amesema kwa kuwa jalada la kesi liko kwa DPP na kwamba washtakiwa wanatakiwa kuwa na...
9 years ago
Raia Tanzania03 Sep
Slaa kachomokea dirishani — Mbowe
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema kilichofanywa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbrod Slaa, ni sawa na msafiri kutokea dirishani wakati treni ikiendelea na safari.
Akimnadi mgombea urais wa chama hicho anayeungwa mkono na vyama vingine vitatu vya upinzani, maarufu kwa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ndua, Kata ya Kizwite mjini Sumbawanga, Mbowe alisema katika...
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Zitto ‘awalipua’ Dk Slaa, Mbowe