Slaa kachomokea dirishani — Mbowe
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema kilichofanywa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbrod Slaa, ni sawa na msafiri kutokea dirishani wakati treni ikiendelea na safari.
Akimnadi mgombea urais wa chama hicho anayeungwa mkono na vyama vingine vitatu vya upinzani, maarufu kwa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ndua, Kata ya Kizwite mjini Sumbawanga, Mbowe alisema katika...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
‘Tatizo ni Mbowe, Dk. Slaa’
ILI kudhibiti nguvu ya upinzani na kujihakikishia ushindi katika uchaguzi ujao, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuwekeza katika mikakati michafu dhidi ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
IPPmedia04 Aug
Mbowe: Dr Slaa was against Lowassa move
IPPmedia
Chadema National Chairman Freeman Mbowe yesterday admitted having differed with Secretary General Wilbrod Slaa in accepting former Premier Edward Lowassa to join Chadema. Mbowe also allayed concerns that Slaa has seceded in protest of ...
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Zitto ‘awalipua’ Dk Slaa, Mbowe
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Mbowe: Nitamzungumzia Dk Slaa muda ukifika
10 years ago
Habarileo04 Aug
Mbowe akiri Slaa ‘alimkataa’ Lowassa
MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amekiri kuwa Katibu Mkuu wao, Dk Willibrod Slaa alitofautiana nao katika kumkubali aliyekuwa kada wa CCM, Edward Lowassa kujiunga nao, na sasa amepewa mapumziko.
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Mbowe: Kwa nini Lowassa, si Dk Slaa
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nzjbifM2Oo8/VfzGcKJAQhI/AAAAAAAD7wE/38oA-EUHOUQ/s72-c/TAARIFA%2B%25282%2529.jpg)
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Kesi ya kina Mbowe, Dk Slaa sasa Des 30
11 years ago
Habarileo29 Jul
Uchaguzi Chadema: Slaa, Mbowe kutetea nafasi zao
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetoa rasmi ratiba yake ya uchaguzi wa ndani, ambapo viongozi wa taifa wa chama hicho, akiwemo mwenyekiti na katibu mkuu wapya wanatarajiwa kutangazwa Septemba 11, mwaka huu.