Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbowe: Dr Slaa was against Lowassa move


Mbowe: Dr Slaa was against Lowassa move
IPPmedia
Chadema National Chairman Freeman Mbowe yesterday admitted having differed with Secretary General Wilbrod Slaa in accepting former Premier Edward Lowassa to join Chadema. Mbowe also allayed concerns that Slaa has seceded in protest of ...

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mbowe: Kwa nini Lowassa, si Dk Slaa

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa jana alitua kwa mara ya kwanza kwenye Jimbo la Karatu ambako Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alitumia nafasi hiyo kuwaeleza wananchi sababu za kumuacha Dk Willibrod Slaa kugombea urais na badala yake kumteua waziri huyo mkuu wa zamani.

 

10 years ago

Habarileo

Mbowe akiri Slaa ‘alimkataa’ Lowassa

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amekiri kuwa Katibu Mkuu wao, Dk Willibrod Slaa alitofautiana nao katika kumkubali aliyekuwa kada wa CCM, Edward Lowassa kujiunga nao, na sasa amepewa mapumziko.

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa aongoza.Wafuatia Slaa, Magufuli, Membe, Makamba, Lipumba, Mbowe, Zitto, Ni matokeo ya utafiti mikoa 18.

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa.
Nyota ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa, imeendelea kung’aa baada ya Taasisi ya Samunge Social Sciences Research Center (SSSRC), kufanya utafiti na kubaini kuwa kiongozi huyo ni chaguo la kwanza kwa wananchi.

Utafiti huo uliofanywa miaka miwili kuanzia 2013 hadi 2015, unaonyesha Lowassa anaongoza kwa asilimia 20.7 dhidi ya wagombea 31.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...

 

9 years ago

TheCitizen

Karatu residents say Slaa move irrelevant

Karatu residents said attacks their one-time MP, Dr Willibrod Slaa, directs to Chadema’s presidential candidate, Mr Edward Lowassa, will not change their resolve to see the ruling CCM voted out in the forthcoming General Election.

 

9 years ago

TheCitizen

What Slaa’s move means ahead of Oct 25 elections

Resignation of former Chadema secretary-general Willibrod Slaa and his attack on the party’s presidential candidate may not have a big impact on the October poll, according to analysts.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Tatizo ni Mbowe, Dk. Slaa’

ILI kudhibiti nguvu ya upinzani na kujihakikishia ushindi katika uchaguzi ujao, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuwekeza katika mikakati michafu dhidi ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Slaa kachomokea dirishani — Mbowe

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema kilichofanywa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbrod Slaa, ni sawa na msafiri kutokea dirishani wakati treni ikiendelea na safari.

Akimnadi mgombea urais wa chama hicho anayeungwa mkono na vyama vingine vitatu vya upinzani, maarufu kwa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Ndua, Kata ya Kizwite mjini Sumbawanga, Mbowe alisema katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto ‘awalipua’ Dk Slaa, Mbowe

Mbunge wa Kigoma Kaskazini,Zitto Kabwe, amejibu mashambulizi kwa viongozi wa Chadema, kutokana na kile alichosema wanazunguka na kusema maneno yasiyo ya ukweli.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe: Nitamzungumzia Dk Slaa muda ukifika

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (pichani) amezungumzia kukosekana kwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa katika vikao vya chama hicho vinavyoendelea jijini, akisema: “Nitazungumzia suala hilo muda muafaka ukifika.”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani