HUKUMU YA LIYUMBA YAAHIRISHWA HADI KESHO
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Amatus Liyumba. HUKUMU ya kesi ya kukutwa na simu gerezani inayomkabili Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA) wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba imeahirishwa hadi kesho katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Hukumu hiyo inatarajiwa kutolewa na Hakimu Mkazi, Augustina Mmbando baada ya leo…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo26 Aug
HUKUMU YA MMLIKI WA ST MATHEW YAAHIRISHWA HADI ALHAMIS.
![court_gavel](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/court_gavel2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Aug
Hukumu ya Mmliki wa St Mathew yaahirishwa hadi Ijumaa
Na Mwandishi wetu
MAHAKAMA ya Mwanzo Kizuiani Mbagala Jijini Dar es Salaam, imeshindwa kutoa hukumu kwenye kesi ya madai ya talaka na mgawanyo wa mali iliyofunguliwa na mkazi wa Singida, Magreth Mwangu dhidi ya Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya St. Mathew na St. Marks,Thadei Mtembei.
Katika madai yake ya Msingi, Mwangu anaomba mahakama imuamuru mdaiwa kutoa Sh. Milioni 800 na makazi ya kukaa mdai na watoto wake.
Hakimu wa mahakama hiyo Rajab Tamaambele akiahirisha alisema kwamba mzee...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmPi6NOT7I13YG*7EeL1N7K3DLQ21wLd3I6vjjM1SqJvl7wdJ72wyxL3081v0hrSnqeDraxT5wR3xPnEes0uKI-M/BREAKING.gif)
HUKUMU YA MRAMBA, YONA NA MGONJA YAAHIRISHWA HADI JULAI 3, 2015
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Kesi ya bomoabomoa Dar yaahirishwa hadi kesho
Baadhi ya wakazi wanaoishi mabondeni wakiwa mahakamani hapo.
Wakazi wa maeneo ya mabondeni wakiwa tayari kusikiliza shauri la zuio lao la kusitisha bomoabomoa mahakamani hapo.
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulia (katikati) akiwa na wakili wake kabla kesi kusikilizwa.
KESI ya kupinga bomoabomoa iliyofunguliwa na Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia (CUF) katika Mahakam Kuu kitengo cha Ardhi jijini Dar es Salaam imesikilizwa leo na kuahirishwa hadi kesho.
Mtulia (kushoto) akijaribu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjPxKR4AR6ym64YK6LYDqbCoSzQRkY-7x7yPP3CF-ji8JyaSV-r-aJPMZ4wmYoyqI20NZh6eFC351XIZ5z2IrYaD/deluxe.jpg?width=650)
SAFARI YA TRENI YA DELUXE KWENDA KIGOMA YAAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yLU2uquS8Mw/VXbFOu4EqAI/AAAAAAAHdUs/FNyfyj6lEMY/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
Treni ya kwenda Bara yaahirishwa hadi kesho Jumatano Juni 10, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-yLU2uquS8Mw/VXbFOu4EqAI/AAAAAAAHdUs/FNyfyj6lEMY/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa safari hiyo ni ajali ya treni ya mizigo iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumanne Juni 09, 2015 maeneo ya Stesheni za Ngeta na Ruvu mkoani Pwani ambapo mabehewa matano yenye shehena ya sukari yameanguka...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WZP8pL3d1cU/VfLHiPGQKQI/AAAAAAAH4CU/Kns8TepyD3Q/s72-c/New%2BPicture.png)
TRENI YA ABIRIA YA LEO YAAHIRISHWA HADI KESHO SEPTEMBA 12, 2015 SAA 11 JIONI!
![](http://2.bp.blogspot.com/-WZP8pL3d1cU/VfLHiPGQKQI/AAAAAAAH4CU/Kns8TepyD3Q/s320/New%2BPicture.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I5aUJzIH8ow/VViD6B4zH_I/AAAAAAAHXwg/gp4cbIPHaJ8/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
TRENI YA DELUXE KWENDA KIGOMA YAAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-I5aUJzIH8ow/VViD6B4zH_I/AAAAAAAHXwg/gp4cbIPHaJ8/s640/unnamed%2B(6).jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa zinatokana na ajali mbili mfululizo za treni za mizigo.
Ajali ya kwanza ilitokea asubuhi saa 1:30 maeneo ya Stesheni ya Ngeta mkoa wa Pwani na ya pili saa 5 asubuhi maeneo ya Stesheni za Kinguruwila na Morogoro!
Ajali hizo...
11 years ago
Habarileo15 Jan
Hukumu kesi ya Liyumba leo
HUKUMU ya kesi ya kukutwa na simu gerezani inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba inatolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.