Hukumu kesi ya Liyumba leo
HUKUMU ya kesi ya kukutwa na simu gerezani inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba inatolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55K4xXsjQAj4tH8wXDbZXEN0RtazBvGlyDetaZzJUlaIhUFCVgf8kEaNi3Ju5Y8i-6I02gdWsBmxIHfOFUBmS8k7/1LIYUMBA1.jpg?width=650)
TASWIRA ZA LIYUMBA BAADA YA KUSHINDA KESI LEO
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Hukumu kesi ya Kibanda leo
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, leo inatarajia kutoa hukumu katika kesi ya kuandika na kuchapisha makala ya uchochezi inayomkabili aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Absalom...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55JLZgFMwKk1YMFt*VtJu2wkDrdpOQDomjjP1dJyYsIfn1I7gGwFVD9hpmnFE-q1uWNv0yVbdePWTBngEr-le8gR/liyumba.jpg?width=650)
HUKUMU YA LIYUMBA YAANZA KUSIKILIZWA
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Kesi ya Mawazo kutolewa hukumu leo
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
JAJI wa Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha, Lameck Mlacha, anatarajia kutoa hukumu juu ya mvutano wa kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Geita marehemu Alphonce Mawazo jijini Mwanza.
Jaji Mlacha anatarajia kutoa hukumu hiyo leo saa saba mchana baada ya pande zote mbili kueleza hoja zao.
Mawakili wa Serikali, Seth Mkemwa na Emilly Kilia ambao wanamtetea Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Mwanza, Charles Mkumbo aliyezuia...
9 years ago
Habarileo18 Nov
Hukumu kesi ya Shehe Ponda leo
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoani hapa leo inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi ya jinai inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda. Hukumu hiyo iliahirishwa kutolewa Oktoba 19, mwaka huu baada ya Hakimu Mwandamizi wa Mahakama hiyo, Mary Moyo kushindwa kukamilisha kuiandika kutokana na matatizo ya kiafya yaliyokuwa yakimkabili.
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Hukumu ya kesi ya kina Makunga leo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
HUKUMU YA LIYUMBA YAAHIRISHWA HADI KESHO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55KiH43HCyRhGra4kghQuB3fEtcvjfWnKxFRydC79l38GwLfTNi1JWs4jt3jSlE5vpmrGfijmp1B6S0o*tnE0TXy/13.gif)
LIYUMBA ASHINDA KESI
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Liyumba ana kesi ya kujibu mahakamani