TASWIRA ZA LIYUMBA BAADA YA KUSHINDA KESI LEO
![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55K4xXsjQAj4tH8wXDbZXEN0RtazBvGlyDetaZzJUlaIhUFCVgf8kEaNi3Ju5Y8i-6I02gdWsBmxIHfOFUBmS8k7/1LIYUMBA1.jpg?width=650)
Amatus Liyumbaakitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kushinda kesi. MKURUGENZI wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA) wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba leo ameshinda kesi ya kukutwa na simu gerezani iliyokuwa inamkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Liyumba ameshinda kesi hiyo baada ya upande wa Jamhuri na mchunguzi wa kesi hiyo kushindwa kuithibitishia mahakama...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTASWIRA ZA MAKUNGA, KIBANDA BAADA YA KUSHINDA KESI YAO KISUTU LEO
11 years ago
Habarileo15 Jan
Hukumu kesi ya Liyumba leo
HUKUMU ya kesi ya kukutwa na simu gerezani inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba inatolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
11 years ago
MichuziTASWIRA ZA MAPOKEZI YA DIAMOND BAADA YA KUSHINDA TUZO YA MSANII BORA WA KIUME AFRIKA MASHARIKI
9 years ago
Vijimambo21 Sep
Picha nje ya Mahakama baada ya Mwimbaji wa Gospel Emmanuel Mbasha kushinda kesi ya kubaka
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.58.52-AM.png?zoom=2&resize=660%2C400)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.58.58-AM.png?zoom=2&resize=620%2C413)
Emmanuel Mbasha akiwa amepiga magoti huku akitokwa machozi nje ya Mahakama ya Ilala, Dar es Salaam baada ya Hukumu kutolewa. Hizi hapa Picha nje ya Mahakama ya Ilala baada ya Hukumu kutolewa Mahakamani na Emmanuel Mbasha kutoka nje ya Mahakama.
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.05-AM.png?zoom=2&resize=620%2C414)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.12-AM.png?zoom=2&resize=620%2C413)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.36-AM.png?zoom=2&resize=620%2C391)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.21-AM.png?zoom=2&resize=362%2C493)
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.28-AM.png?zoom=2&resize=364%2C480)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.42-AM.png?zoom=2&resize=620%2C413)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.49-AM.png?zoom=2&resize=620%2C408)
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-11.59.57-AM.png?zoom=2&resize=366%2C549)
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/09/Screen-Shot-2015-09-21-at-12.00.02-PM.png?zoom=2&resize=359%2C540)
millardayo.com
10 years ago
Bongo Movies23 Jun
Baada ya Sugu Kushinda Kesi,Faiza Asema Bora Kufa Kuliko Kumuona Sasha Akilelewa na Mama Mwingine
Baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu’ kushinda kesi mahakamani ya kutaka apewe amlee mtoto wake aitwaye Sasha,aliyekuwa mzazi mwanzake,Faiza Ally amefunguka kuwa ni bora kufa kuliko kumuona mtoto wake akilelewa na mama mwingine wakati yeye yupo hai.
Sugu alimfikisha mahamakani mzazi mwenziye kwa madai kuwa ameshindwa kumlea mtoto wao kwa kuwa mama huyo si mwadilifu.
Faiza ameandika hivi kupitia Akaunti ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q2u6IXcjmWE/VKE3hGKTAKI/AAAAAAAG6V4/vDdpvyr4FA8/s72-c/DSC_1097.jpg)
TASWIRA MWANANA ZA JIJINI DAR LEO BAADA YA MVUA YA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q2u6IXcjmWE/VKE3hGKTAKI/AAAAAAAG6V4/vDdpvyr4FA8/s1600/DSC_1097.jpg)
Baada ya mvua ya kubwa ya kama masaa mawili mfululizo,maeneo mengi jijini Dar yamejaa maji na kupelekea adha kubwa kwa wakazi wa jiji hili.Pichani ni eneo la Morogoro Road.
![](http://1.bp.blogspot.com/-fv2Du3ZjdoA/VKE3hkYdPEI/AAAAAAAG6WA/CiAImmwUz0Q/s1600/DSC_1107.jpg)
Barabara ya Bibi Titi Mohamed mambo yalikuwa namna hii,wenye magari madogo walipita kwa staili ya maji ya shingo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZYgMINwGN2o/VKE3gl8M6BI/AAAAAAAG6V0/NebeZTj4ic4/s1600/DSC_1105.jpg)
Matolori ya kuuzia ice creame yakionekana kununiwa leo,huku wapita njia wakiendelea kupiga mbizi kwenye maji hayo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-w2zA45p3-YU/VKE3jxAjBSI/AAAAAAAG6Wk/D_KJErjo5D8/s1600/DSC_1132.jpg)
Hapa ndio inakuwaga kimbebe,maana daladala ndio lishabuma tena.
![](http://3.bp.blogspot.com/-E2U6E7KWr9U/VKE5P-BqPlI/AAAAAAAG6X4/eMPQS2Xyxqg/s1600/DSC_0114.jpg)
Hakuna namna nyingine ya kuyakwepa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55KiH43HCyRhGra4kghQuB3fEtcvjfWnKxFRydC79l38GwLfTNi1JWs4jt3jSlE5vpmrGfijmp1B6S0o*tnE0TXy/13.gif)
LIYUMBA ASHINDA KESI
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Liyumba ana kesi ya kujibu mahakamani
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Liyumba: Kesi ya kukutwa na simu nimebambikiwa