Hukumu kesi ya Kibanda leo
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, leo inatarajia kutoa hukumu katika kesi ya kuandika na kuchapisha makala ya uchochezi inayomkabili aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Absalom...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTASWIRA ZA MAKUNGA, KIBANDA BAADA YA KUSHINDA KESI YAO KISUTU LEO
11 years ago
Habarileo15 Jan
Hukumu kesi ya Liyumba leo
HUKUMU ya kesi ya kukutwa na simu gerezani inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba inatolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo18 Nov
Hukumu kesi ya Shehe Ponda leo
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoani hapa leo inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi ya jinai inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda. Hukumu hiyo iliahirishwa kutolewa Oktoba 19, mwaka huu baada ya Hakimu Mwandamizi wa Mahakama hiyo, Mary Moyo kushindwa kukamilisha kuiandika kutokana na matatizo ya kiafya yaliyokuwa yakimkabili.
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Kesi ya Mawazo kutolewa hukumu leo
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
JAJI wa Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha, Lameck Mlacha, anatarajia kutoa hukumu juu ya mvutano wa kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Geita marehemu Alphonce Mawazo jijini Mwanza.
Jaji Mlacha anatarajia kutoa hukumu hiyo leo saa saba mchana baada ya pande zote mbili kueleza hoja zao.
Mawakili wa Serikali, Seth Mkemwa na Emilly Kilia ambao wanamtetea Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Mwanza, Charles Mkumbo aliyezuia...
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Hukumu ya kesi ya kina Makunga leo
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Hukumu ya Kibanda na wenzake imetusomesha nini?
RAIS wangu, saa 4.15 asubuhi ya tarehe 29-01-2014 kulilipuka vifijo, hoihoi na nderemo katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Ndiyo saa ambayo mwanamwema Hakimu...
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Makunga, Kibanda washinda kesi ya uchochezi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3vKQkh-Flok1D8F63cRDmkjGdDU0rP7OXY9RxCTgfNdMy7ToOesHle07WA4TttdqFRmaqPacJspWs7EAVw9Q3ObdJEEA9Vl0/beakingnews.gif)
10 years ago
Vijimambo07 Feb
HUKUMU KESI YA KESI KISUTU
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-qEBytIDT_uk%2FVNTSKai8E_I%2FAAAAAAAAs58%2FkFaUXYLmSMU%2Fs1600%2Fmacha%252Bhans.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
NA MWANDISHI WETU
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imethibitisha kwamba mfanyabiashara Hans Macha alinunua nyumba kwa kufuata utaratibu na kihalali kutoka kwa Ramadhani Balenga.
Hayo yalithibitishwa leo kupitia hukumu iliyosomwa na Hakimu Mkazi Frank Moshi kwa niaba ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka, ambaye alisikiliza kesi ya kughushi inayomkabili Macha.
Katika kesi hiyo, Macha alikuwa akikabiliwa na mashitaka matatu ya kughushi hati ya umiliki wa kiwanja kilichopo eneo ya Kigogo, Dar es...