Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hukumu ya Kibanda na wenzake imetusomesha nini?

RAIS wangu, saa 4.15 asubuhi ya tarehe 29-01-2014 kulilipuka vifijo, hoihoi na nderemo katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Ndiyo saa ambayo mwanamwema Hakimu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Hukumu kesi ya Kibanda leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, leo inatarajia kutoa hukumu katika kesi ya kuandika na kuchapisha makala ya uchochezi inayomkabili aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Absalom...

 

10 years ago

Habarileo

Hukumu ya Mramba na wenzake leo

Waziri wa zamani wa Fedha, Basil MrambaHUKUMU ya kesi ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayowakabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba, Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja inatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DCI amkwepa Kibanda

MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI), Isaya Mungulu, amekwepa kuzungumzia sakata la kutekwa, kuteswa, kutobolewa jicho na kukatwa kidole kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini, Absalom...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kibanda aibwaga Serikali

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemwachilia huru Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini, Absalom Kibanda, na wenzake waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kuandika na kuchapisha makala ya...

 

11 years ago

IPPmedia

Kibanda, Makunga acquitted


eTurboNews
Kibanda, Makunga acquitted
IPPmedia
Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday acquitted former Tanzania Daima Managing Editor Absalom Kibanda and two others of charges of sedition due to lack of sufficient evidence. The accused were acquitted under section 235 of ...
Tanzanian court sets free senior editors free from seditious caseeTurboNews
Court frees editors off sedition hookDaily News
Tanzanian acquits three journalists for seditionGlobalPost

all 4

 

11 years ago

Habarileo

Kibanda aachiwa huru

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salam imemwachia huru aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda na wenzake baada ya kuwaona hawana hatia katika mashitaka ya uchochezi yaliyokuwa yanawakabili.

 

11 years ago

GPL

WARAKA WA ABSALOM KIBANDA KWA JK

 Absalom Kibanda.…

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

Dewji Blog

Namuogopa Abdulrahman Kinana — Absalom Kibanda

349

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye wakiendelea na safari pamoja na wananchi kwenye ziara ya kukagua miradi mbalimbali mkoani Tanga.

Na Absalom Kibanda

Kwa mara nyingine tena, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeandika historia mpya baada ya kufanya mabadiliko mazito katika safu yake ya uongozi wa kitaifa.

Ni mabadiliko mazito si kwa sababu tu yamefanywa na CCM ambayo imekuwa na rekodi ya kubadili sura za watendaji wake kwa namna na kwa njia tofauti, bali kutokana na ukweli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani