Kibanda aibwaga Serikali
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemwachilia huru Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini, Absalom Kibanda, na wenzake waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kuandika na kuchapisha makala ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Liyumba aibwaga Serikali kortini
HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemwachia huru aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba. Liyumba alikuwa akikabiliwa na kesi ya...
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Lwakatare aibwaga serikali kortini
MKURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare, ameshinda rufaa ya maombi ya marejeo yaliyowasilishwa na Serikali kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania...
10 years ago
Dewji Blog28 Sep
Komu aibwaga Serikali, wabunge Afrika Mashariki wakalia kuti kavu
Na Mwandishi wetu
ALIYEKUWA Mgombea ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki, (EALA), kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema), Anthony Komu (pichani), ameibwaga Serikali kwenye kesi aliyoifungua Mahakama ya Afrika Mashariki, (EACJ), baada ya maombi yake mawili kukubaliwa huku moja likitupwa.
Mahakama hiyo, imesema kuwa kuwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilikiuka kipengele cha 50 (1) cha uanzishwa wa jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye uchaguzi uliofanyika Aprili...
11 years ago
Habarileo03 Jan
Zitto aibwaga Chadema mahakamani
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeamuru Kamati Kuu ya Chadema kutojadili suala la uanachama wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto katika mkutano utakaofanyika leo Dar es Salaam.
10 years ago
Bongo512 May
Bow Wow aibwaga Cash Money Records
11 years ago
IPPmedia30 Jan
Kibanda, Makunga acquitted
eTurboNews
IPPmedia
Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday acquitted former Tanzania Daima Managing Editor Absalom Kibanda and two others of charges of sedition due to lack of sufficient evidence. The accused were acquitted under section 235 of ...
Tanzanian court sets free senior editors free from seditious caseeTurboNews
Court frees editors off sedition hookDaily News
Tanzanian acquits three journalists for seditionGlobalPost
all 4
11 years ago
Habarileo30 Jan
Kibanda aachiwa huru
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salam imemwachia huru aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda na wenzake baada ya kuwaona hawana hatia katika mashitaka ya uchochezi yaliyokuwa yanawakabili.
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
DCI amkwepa Kibanda
MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI), Isaya Mungulu, amekwepa kuzungumzia sakata la kutekwa, kuteswa, kutobolewa jicho na kukatwa kidole kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini, Absalom...