Lwakatare aibwaga serikali kortini
MKURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilfred Lwakatare, ameshinda rufaa ya maombi ya marejeo yaliyowasilishwa na Serikali kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Liyumba aibwaga Serikali kortini
HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemwachia huru aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu (BoT), Amatus Liyumba. Liyumba alikuwa akikabiliwa na kesi ya...
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Mchungaji Lwakatare azuia hekalu lake kortini
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia nyumba anayoishi Mchungaji wa Kanisa la Assemblies of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare kubomolewa.
Uamuzi huo wa mahakama ulitolewa juzi na Jaji John Mgeta, baada ya Wakili wa Lwakatare, Emmanuel Muga kuwasilisha maombi ya kupinga ubomoaji huo chini ya hati ya dharura.
Jaji Mgeta alizuia ubomoaji wa jengo hilo ama kuchukua hatua yoyote kuhusu jengo hilo lililopo Kawe Beach.
Muga aliwasilisha maombi akimwakilisha mdai...
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Lwakatare, DPP kuchuana upya kortini leo
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Kibanda aibwaga Serikali
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemwachilia huru Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini, Absalom Kibanda, na wenzake waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kuandika na kuchapisha makala ya...
10 years ago
Dewji Blog28 Sep
Komu aibwaga Serikali, wabunge Afrika Mashariki wakalia kuti kavu
Na Mwandishi wetu
ALIYEKUWA Mgombea ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki, (EALA), kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema), Anthony Komu (pichani), ameibwaga Serikali kwenye kesi aliyoifungua Mahakama ya Afrika Mashariki, (EACJ), baada ya maombi yake mawili kukubaliwa huku moja likitupwa.
Mahakama hiyo, imesema kuwa kuwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilikiuka kipengele cha 50 (1) cha uanzishwa wa jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye uchaguzi uliofanyika Aprili...
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Lwakatare wa Chadema, Ludovick waibwaga Serikali mahakamani
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Wanaodaiwa kuchoma ofisi ya Serikali kortini
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Ofisa wanyamapori kortini kwa nyara za serikali
OFISA Muhifadhi Wanyamapori Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, Rashidi Ndimbe, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na nyara za serikali. Mbele...
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Serikali yapinga kortini Bunge la Katiba kusimamishwa