Serikali yapinga kortini Bunge la Katiba kusimamishwa
Serikali imewasilisha mahakamani pingamizi la kisheria dhidi ya maombi ya kusimamishwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma, kutokana na kesi ya kikatiba namba 28 ya mwaka 2014 iliyofunguliwa na mwanahabari, Said Kubenea.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Arfi naye kwenda kortini kupinga Bunge la Katiba
11 years ago
Tanzania Daima04 May
‘Serikali isitishe posho Bunge la Katiba’
SERIKALI imeombwa kuzuia malipo ya posho kwa wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba, badala yake fedha hizo zielekezwe katika huduma za jamii. Kauli hiyo ilitolewa juzi wilayani Rorya mkoani Mara...
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Bunge la Katiba halina msemaji wa Serikali
10 years ago
Habarileo05 Sep
Serikali yaweka pingamizi kesi ya Bunge la Katiba
UPANDE wa Jamhuri umewasilisha pingamizi dhidi ya ombi la kusimamishwa kwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma, lililofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea.
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Gharama Bunge la Katiba kuathiri bajeti ya serikali
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Mzimu wa serikali tatu bado walitesa Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Mikakati Bunge la Katiba: CCM ‘yakomalia’ serikali mbili [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Serikali yaahidi kuwasilisha hati ya #Muungano Bunge la #Katiba [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi29 Dec
Serikali yataja rasmi makundi ya kuunda Bunge Maalumu la Katiba