Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yaahidi kuwasilisha hati ya #Muungano Bunge la #Katiba [VIDEO]

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Stephen Wassira ametoa ahadi hiyo katika kikao cha Bunge hilo Maalum mjini hapa mapema Jumatatu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe Bunge la #Katiba wadai nyaraka huku Hati ya Muungano ikileta utata [VIDEO]

>Hoja hiyo iliibuliwa na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema), aliyeshauri kanuni ya 4 ya kuliendesha Bunge hilo Maalum irekebishwe ili wajumbe wapate nyaraka au taarifa yeyote wanayoihitaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la #Katiba kuahirishwa kabla ya maadhimisho ya #Muungano [VIDEO]

Mwenyekiti wa Bunge hilo Samuel Sitta amesema kuwa Aprili 25 itakuwa siku ya mwisho ya majadiliano kwa kipindi hiki cha kwanza ili kupisha Bunge la Bajeti.

 

11 years ago

Habarileo

Hati ya Muungano kutumika katika Bunge Maalum

John MnyikaHATI ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni miongoni mwa nyaraka ambazo Bunge Maalum la Katiba, limekubali kuwa kiwe ni moja ya vielelezo, ambavyo Wajumbe watavitumia watakapokuwa wanachangia hoja zinazohusu jambo hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge lachafuka, Warioba asimama bila kuwasilisha Rasimu ya Katiba

>Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba jana jioni alisimama kwa dakika tatu mbele ya kipaza sauti lakini akashindwa kuwasilisha Rasimu ya Katiba kutokana na vurugu zilizojitokeza bungeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Wahandisi wataka Hati ya Muungano iwe nyongeza ya Katiba

>Baraza la Katiba la Taasisi ya Wahandisi Tanzania, limependekeza Hati ya Makubaliano ya Muungano ya mwaka 1964, iwekwe kwenye Katiba Mpya kama nyongeza, ili kuepusha udadisi na chokochoko zinazozalisha kero zisizoisha.

 

11 years ago

Mwananchi

Mikakati Bunge la Katiba: CCM ‘yakomalia’ serikali mbili [VIDEO]

Hata hivyo, msemaji huyo wa CCM alikiri kuwa ili mfumo huu wa serikali mbili uendelee kufanya kazi, lazima baadhi ya mambo yabadilike.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kati ya wananchi 38,000 waliotoa maoni yao kuhusu Muungano, 19,000 walizungumzia suala la muundo.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba labadili ratiba Bunge la Muungano

 Mkutano wa 15 wa Bunge la Bajeti umeahirishwa huku Spika wa Bunge, Anne Makinda akisema, kutokana na mwingiliano wa ratiba, mikutano miwili ijayo ya Bunge hilo itaunganishwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la #Katiba: 'Wachache' wakomalia serikali tatu, 'Wengi' walia na mbili [VIDEO]

Serikali ya Muungano iliyopendekezwa na Rasimu ya Pili ya Katiba yaweza kujiendesha kwa kutafuta vyanzo mbalimbali vya mapato.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani