Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mikakati Bunge la Katiba: CCM ‘yakomalia’ serikali mbili [VIDEO]

Hata hivyo, msemaji huyo wa CCM alikiri kuwa ili mfumo huu wa serikali mbili uendelee kufanya kazi, lazima baadhi ya mambo yabadilike.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Bunge la #Katiba: 'Wachache' wakomalia serikali tatu, 'Wengi' walia na mbili [VIDEO]

Serikali ya Muungano iliyopendekezwa na Rasimu ya Pili ya Katiba yaweza kujiendesha kwa kutafuta vyanzo mbalimbali vya mapato.

 

11 years ago

Habarileo

CCM yasisitiza serikali mbili katika Katiba

KATIBU wa Idara ya Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema CCM bado ni muumini mkubwa wa sera ya Serikali mbili katika Muungano.

 

11 years ago

Michuzi

MWENYEKITI CCM TAWI LA MOSCOW URUSI ATOA MSIMAMO WAKE JUU YA MCHAKATO WA KATIBA, ASEMA SERIKALI MBILI NDIO SULUHISHO

MWENYEKITI TAWI LA CCM MOSCOW URUSI, NDG SALIM MFUNGAHEMA: 
 Mwenyekiti tawi la CCM Moscow Ndg Mfungahema Salim amesema muundo wa muungano wa serikali Mbili ndio suluhisho pekee la watanzania, Akizungumza katika kikao cha kamati ya siasa ya tawi kilichofanyika 05.06.2014, bwana Mfungahema alisema muungano wa serikali mbili ndio umetufikisha hapa tulipo na kuna mafanikio makubwa TULIYOYAPATA, pamoja na changamoto chache zinazojitokeza lakini zinarekebishika.
 Bwana Mfungahema aliwataka...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yaahidi kuwasilisha hati ya #Muungano Bunge la #Katiba [VIDEO]

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Stephen Wassira ametoa ahadi hiyo katika kikao cha Bunge hilo Maalum mjini hapa mapema Jumatatu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati mbili zakamilisha kujadili #rasimu, zote zapendekeza serikali mbili[VIDEO]

 KAMATI mbili kati ya 12 za Bunge Maalum la Katiba zimehitimisha kazi yake katika kujadili sura mbili za rasimu huku zote zikipendekeza muundo wa serikali mbili za Muungano katika Sura ya Kwanza na ile ya Sita badala ya Shirikisho.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali tatu ‘matakwa ya wananchi’, Warioba aliambia Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kati ya wananchi 38,000 waliotoa maoni yao kuhusu Muungano, 19,000 walizungumzia suala la muundo.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yapigilia msumari hatima ya #Katiba, yabariki Bunge kuendelea bila #Ukawa [VIDEO]

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (NEC-CCM),imepigilia msumari wa mwisho kuhusu sintofahamu ya vikao vya Bunge Maalum la Katiba baada ya kukubaliana na mwenendo mzima wa Bunge hilo.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yaweka mikakati ya Uchaguzi Serikali Mitaa

KATIKA kuhakikisha kinafanya vyema katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwishoni mwa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu wa mwaka kesho, Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kimepanga kuzitumia siku za Jumamosi kwa mikutano ya kisiasa katika kata zote za manispaa hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani