Kamati mbili zakamilisha kujadili #rasimu, zote zapendekeza serikali mbili[VIDEO]
 KAMATI mbili kati ya 12 za Bunge Maalum la Katiba zimehitimisha kazi yake katika kujadili sura mbili za rasimu huku zote zikipendekeza muundo wa serikali mbili za Muungano katika Sura ya Kwanza na ile ya Sita badala ya Shirikisho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Seif: Hatuko tayari kujadili serikali mbili
11 years ago
Habarileo07 Apr
Theluthi mbili kuelekea serikali mbili si tatizo
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kama wataacha ushabiki wa vyama na kujikita zaidi kwenye hoja, uwezekano wa kupatikana kwa theluthi mbili kuelekea katika mfumo wa serikali mbili upo.
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Mikakati Bunge la Katiba: CCM ‘yakomalia’ serikali mbili [VIDEO]
9 years ago
BBCSwahili23 Aug
Korea zote mbili zaanza mazungumzo
11 years ago
Mwananchi04 May
Theluthi mbili ilivyokwamisha nia ya kubadili rasimu
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Kura mbili zapitisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa
10 years ago
Habarileo30 Sep
Theluthi mbili Zanzibar rasimu ya Katiba utata
KAMA ilivyotarajiwa kwamba theluthi mbili ya kura za ‘Ndiyo’ kwa ajili ya kupitisha Katiba Inayopendekezwa ingeleta shida, tayari kwa idadi ya wajumbe waliokuwa ndani ya ukumbi wa Bunge jana, theluthi mbili ya wajumbe wa Zanzibar imekosekana.
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Bunge la #Katiba: 'Wachache' wakomalia serikali tatu, 'Wengi' walia na mbili [VIDEO]