Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge la #Katiba kuahirishwa kabla ya maadhimisho ya #Muungano [VIDEO]

Mwenyekiti wa Bunge hilo Samuel Sitta amesema kuwa Aprili 25 itakuwa siku ya mwisho ya majadiliano kwa kipindi hiki cha kwanza ili kupisha Bunge la Bajeti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali yaahidi kuwasilisha hati ya #Muungano Bunge la #Katiba [VIDEO]

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Stephen Wassira ametoa ahadi hiyo katika kikao cha Bunge hilo Maalum mjini hapa mapema Jumatatu.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe Bunge la #Katiba wadai nyaraka huku Hati ya Muungano ikileta utata [VIDEO]

>Hoja hiyo iliibuliwa na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema), aliyeshauri kanuni ya 4 ya kuliendesha Bunge hilo Maalum irekebishwe ili wajumbe wapate nyaraka au taarifa yeyote wanayoihitaji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

KATIBA MPYA: Mwafaka wa aina ya muungano ulihitajika kabla

JAMBO ambalo limekuwa likijadiliwa na wengi katika rasimu ya Katiba mpya ni hoja ya Muungano. Ingawa kwa maoni yangu ningesema yamekuwa mabishano ambayo si wengi wameyajengea hoja, lakini Watanzania wengi...

 

11 years ago

Mwananchi

DIRA: Tulipaswa kupiga kura ya Muungano kabla ya Katiba Mpya

>Mpambano mkali kati ya Umoja wa Katiba ya  Wananchi (Ukawa) na Chama Cha Mapinduzi  (CCM) unaendelea, huku suala la kupata Katiba mpya likionekana kama liwekwa kando kwa muda.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba labadili ratiba Bunge la Muungano

 Mkutano wa 15 wa Bunge la Bajeti umeahirishwa huku Spika wa Bunge, Anne Makinda akisema, kutokana na mwingiliano wa ratiba, mikutano miwili ijayo ya Bunge hilo itaunganishwa.

 

11 years ago

GPL

11 years ago

Tanzania Daima

Waraka halali wa Muungano utumike Bunge la Katiba

WASWAHILI wana msemo maarufu unaoeleza kuwa mambo kangaja huenda yakaja. Sasa wakati waheshimiwa wetu wa Bunge Maalumu la Katiba, baada ya baadhi yao kutaka waongezwe posho ili watuwakilishe vizuri katika...

 

9 years ago

StarTV

Kuahirishwa kwa  maadhimisho Siku Ya Ukimwi Duniani kwapokelewa tofauti

Siku moja baada ya Serikali kutangaza kuahirisha shughuli za maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani ambayo yalipangwa kufanyika Kitaifa mkoani Singida mwaka huu, baadhi ya watu wanaoishi na Virusi vya ugonjwa huo wamekuwa na maoni na mitazamo tofauti juu ya uamuzi huo.

Baadhi wamepongeza uamuzi huo wa Serikali na wengine wakidai umechelewa kutolewa kwa kuwa wadau wengi walikwishaingia gharama kubwa za maandalizi na kusafiri hadi Singida kuhudhuria uzinduzi wa maadhimsiho hayo Jumatano hii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani