Bunge la #Katiba kuahirishwa kabla ya maadhimisho ya #Muungano [VIDEO]
Mwenyekiti wa Bunge hilo Samuel Sitta amesema kuwa Aprili 25 itakuwa siku ya mwisho ya majadiliano kwa kipindi hiki cha kwanza ili kupisha Bunge la Bajeti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Serikali yaahidi kuwasilisha hati ya #Muungano Bunge la #Katiba [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Wajumbe Bunge la #Katiba wadai nyaraka huku Hati ya Muungano ikileta utata [VIDEO]
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
KATIBA MPYA: Mwafaka wa aina ya muungano ulihitajika kabla
JAMBO ambalo limekuwa likijadiliwa na wengi katika rasimu ya Katiba mpya ni hoja ya Muungano. Ingawa kwa maoni yangu ningesema yamekuwa mabishano ambayo si wengi wameyajengea hoja, lakini Watanzania wengi...
11 years ago
Mwananchi07 May
DIRA: Tulipaswa kupiga kura ya Muungano kabla ya Katiba Mpya
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Bunge la Katiba labadili ratiba Bunge la Muungano
11 years ago
GPL28 Apr
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Waraka halali wa Muungano utumike Bunge la Katiba
WASWAHILI wana msemo maarufu unaoeleza kuwa mambo kangaja huenda yakaja. Sasa wakati waheshimiwa wetu wa Bunge Maalumu la Katiba, baada ya baadhi yao kutaka waongezwe posho ili watuwakilishe vizuri katika...
9 years ago
StarTV27 Nov
Kuahirishwa kwa  maadhimisho Siku Ya Ukimwi Duniani kwapokelewa tofauti
Siku moja baada ya Serikali kutangaza kuahirisha shughuli za maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani ambayo yalipangwa kufanyika Kitaifa mkoani Singida mwaka huu, baadhi ya watu wanaoishi na Virusi vya ugonjwa huo wamekuwa na maoni na mitazamo tofauti juu ya uamuzi huo.
Baadhi wamepongeza uamuzi huo wa Serikali na wengine wakidai umechelewa kutolewa kwa kuwa wadau wengi walikwishaingia gharama kubwa za maandalizi na kusafiri hadi Singida kuhudhuria uzinduzi wa maadhimsiho hayo Jumatano hii...