DIRA: Tulipaswa kupiga kura ya Muungano kabla ya Katiba Mpya
>Mpambano mkali kati ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaendelea, huku suala la kupata Katiba mpya likionekana kama liwekwa kando kwa muda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
KATIBA MPYA: Mwafaka wa aina ya muungano ulihitajika kabla
JAMBO ambalo limekuwa likijadiliwa na wengi katika rasimu ya Katiba mpya ni hoja ya Muungano. Ingawa kwa maoni yangu ningesema yamekuwa mabishano ambayo si wengi wameyajengea hoja, lakini Watanzania wengi...
10 years ago
Michuzi21 Sep
Maoni ya Kinana juu ya muungano baada ya wananchi wa scotland kupiga kura
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
10 years ago
Vijimambo21 Sep
MAONI YA KINANA BAADA YA WANANCHI WA SCOTLAND KUPIGA KURA KUUNGA MKONO MUUNGANO
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mtongani alitoa maoni yake juu ya kura iliyopigwa na wananchi wa Scotland kuunga mkono Muungano dhidi ya wale waliotaka kujitenga.
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Bunge la #Katiba kuahirishwa kabla ya maadhimisho ya #Muungano [VIDEO]
10 years ago
Mwananchi06 Dec
‘Someni Katiba kabla ya kuipigia kura’
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Utata wa katiba umalizwe kabla ya kura ya maoni
KWA mara nyingine, Rais Jakaya Kikwete amekuja na lugha mwanana na murua juu ya hiyo tunayotakiwa tuamini ni Katiba inayolifaa taifa hili. Lakini katiba itakayopelekwa kwa wananchi kuifanyia uamuzi sio...
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Wananchi waichambue Katiba kabla ya upigaji kura
BAADA ya mvutano kuhusu mchakato wa katiba, hatimaye hivi karibuni, Bunge Maalum la Katiba chini ya Mwenyekiti, Samuel Sitta kutoka na Katiba inayopendekezwa. Hata hivyo, mvutano huo bado haujapatiwa ufumbuzi...
11 years ago
Mwananchi02 Apr
DIRA: CCM hawakutaka Katiba Mpya na haitatokea
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Pinda Katiba ipatikane kabla ya Rais mpya