MAONI YA KINANA BAADA YA WANANCHI WA SCOTLAND KUPIGA KURA KUUNGA MKONO MUUNGANO
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mtongani alitoa maoni yake juu ya kura iliyopigwa na wananchi wa Scotland kuunga mkono Muungano dhidi ya wale waliotaka kujitenga.
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi21 Sep
Maoni ya Kinana juu ya muungano baada ya wananchi wa scotland kupiga kura
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
10 years ago
GPL21 Sep
KINANA ATOA MAONI YAKE KWA WAANDISHI JUU YA MUUNGANO WA SCOTLAND
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s72-c/1.jpg)
KINANA ASHIRIKI BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi na waratibu wa Bonanza maalum la kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari Maalum la kupiga kura mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Gonga, Karakata tayari kushiriki mchaka mchaka na vijana zaidi ya 500 kutoka vikundi mbali mbali vya wilaya ya Ilala na Temeke.
![](http://1.bp.blogspot.com/-PmYbB_Xa1y8/VTOJOsl63pI/AAAAAAAAaKI/oHFPf0hv7R8/s1600/2.jpg)
Vijana wakiwa wamekusanyika tayari kuanza kushiriki mazoezi ya jogging kwenye uwanja wa Gonga, Karakata ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/e9wGR4iebnk/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-z5_qDF2YbFs/Vb-To7WPwYI/AAAAAAABTFM/9xAnsWBj2o0/s72-c/jerry.jpg)
BAADA YA KUIBUKA KIDEDEA KURA ZA MAONI JIMBO LA UKONGA,WANANCHI WAMPONGEZA JERRY SILAA NYUMBANI KWAKE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-z5_qDF2YbFs/Vb-To7WPwYI/AAAAAAABTFM/9xAnsWBj2o0/s640/jerry.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-u5eLO9o9QZQ/Vb-To2dTbaI/AAAAAAABTFQ/Ym8hr02Xc08/s640/maxresdefault.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Wananchi waaswa kuunga mkono mapambano mabadiliko tabia nchi
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Binilith Mahenge, amewataka wananchi kuunga mkono juhudi za serikali na Bara la Afrika katika kupambana na changamoto za mabadiliko ya tabia...
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Kura ya maoni ya Scotland mafunzo kwa watanzannia-Hebron
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-fJ7MCuCFEfk/Xl4OOmF2XrI/AAAAAAACz60/FIkUM-F-ZUcsQ9dYY_PmH1HcFJSzRdfSgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUUNGA MKONO SERIKALI DHIDI YA VITENDO VYA KIKATILI HASA KWA WANAWAKE NA WTOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-fJ7MCuCFEfk/Xl4OOmF2XrI/AAAAAAACz60/FIkUM-F-ZUcsQ9dYY_PmH1HcFJSzRdfSgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mkuu wa mkoa huyo ameyasema hayo jana mkoani humo wakati akiupokea Msafara wa Kijinsia kutokomeza ukatili unaolenga kutoa elimu kwa jamii kuhusu madhara ya kufanya vitendo vya ukatili wa kijinsia kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Kitaifa Simiyu Machi 08,...