Pinda Katiba ipatikane kabla ya Rais mpya
>Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema atafurahi kuona mchakato mzima wa Katiba ukikamilika kabla rais mpya hajapatikana katika Uchaguzi Mkuu ujao
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Oct
‘Katiba ipatikane kabla ya Rais ajaye’
MJUMBE wa Bunge Maalumu, Askofu Amos Mhagache amemwomba Rais Jakaya Kikwete aache amekamilisha mchakato wa kupata Katiba mpya.
11 years ago
Dewji Blog04 Oct
Katiba mpya ikamilike kabla ya Uchaguzi Mkuu — Mizengo Pinda
Na Mwandishi wetu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (pichani) amesema atafurahi kuona mchakato mzima wa Katiba ukikamilika kabla rais mpya hajapatikana katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Akizungumza Bungeni baada ya kupewa nafasi na Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta kutoa shukrani, Pinda alipendekeza kura ya maoni ipigwe sambamba na Rais ili kiongozi ajaye afanye kazi ya kutekeleza matakwa ya Katiba hiyo.
Alisema rais ajaye anaweza kuwa na ajenda zake, hivyo ni muhimu kumaliza kazi yote na...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
KATIBA MPYA: Mwafaka wa aina ya muungano ulihitajika kabla
JAMBO ambalo limekuwa likijadiliwa na wengi katika rasimu ya Katiba mpya ni hoja ya Muungano. Ingawa kwa maoni yangu ningesema yamekuwa mabishano ambayo si wengi wameyajengea hoja, lakini Watanzania wengi...
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Mbowe: Siyo lazima Katiba ipatikane sasa
11 years ago
Mwananchi07 May
DIRA: Tulipaswa kupiga kura ya Muungano kabla ya Katiba Mpya
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Pinda: Uchaguzi unasubiri hatima ya Katiba Mpya
11 years ago
Habarileo
Pinda- Uchaguzi mitaa unategemea Katiba mpya
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ambao unatarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu yanaendelea. Hata hivyo, amesema kwa kiasi kikubwa hatma ya uchaguzi huo, inategemea kukamilika kwa mchakato wa Katiba mpya.
11 years ago
Michuzi.jpg)
Pinda awataka wajumbe wa bunge maalum kuepuka mivutano, wazingatie mambo muhimu kupata katiba mpya
.jpg)
11 years ago
BBCSwahili30 Dec
Rais akabidhiwa rasimu ya katiba mpya