Pinda: Uchaguzi unasubiri hatima ya Katiba Mpya
Waziri Mkuu amesema maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa yameanza lakini kikwazo ni msimamo wa Ukawa katika kupata Katiba Mpya kwa wakati uliopangwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo
Pinda- Uchaguzi mitaa unategemea Katiba mpya
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ambao unatarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu yanaendelea. Hata hivyo, amesema kwa kiasi kikubwa hatma ya uchaguzi huo, inategemea kukamilika kwa mchakato wa Katiba mpya.
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya
11 years ago
Dewji Blog04 Oct
Katiba mpya ikamilike kabla ya Uchaguzi Mkuu — Mizengo Pinda
Na Mwandishi wetu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (pichani) amesema atafurahi kuona mchakato mzima wa Katiba ukikamilika kabla rais mpya hajapatikana katika Uchaguzi Mkuu ujao.
Akizungumza Bungeni baada ya kupewa nafasi na Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta kutoa shukrani, Pinda alipendekeza kura ya maoni ipigwe sambamba na Rais ili kiongozi ajaye afanye kazi ya kutekeleza matakwa ya Katiba hiyo.
Alisema rais ajaye anaweza kuwa na ajenda zake, hivyo ni muhimu kumaliza kazi yote na...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Uchaguzi Simba wasubiri hatima ya katiba yao
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Kikao cha tcd, ni kipi mlichokubaliana kuhusu hatima ya Katiba Mpya?
11 years ago
Mwananchi03 Oct
Pinda Katiba ipatikane kabla ya Rais mpya
11 years ago
Habarileo17 Apr
Hatima kesi ya Pinda leo
HATIMA ya kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu Mizengo Pinda inatarajiwa kujulikana leo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam itakapotoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na upande wa mawakili wa Pinda pamoja na Mwanasheria Mkuu (AG).
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 na Katiba Mpya
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Hatima pingamizi kesi ya Pinda leo