Kikao cha tcd, ni kipi mlichokubaliana kuhusu hatima ya Katiba Mpya?
Nimeendelea kuyasoma magazeti ya siku ya Ijumaa ambayo yalisheheni maudhui ya kikao cha wadau wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Wadau wakubwa wa TCD ni vyama vya siasa hasa Chama cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Wananchi (CUF), Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha NCCR-Mageuzi na Chama cha UDP.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--MmCO9APEmE/VFugTH5pNLI/AAAAAAADMhI/5j4oxsprK_4/s72-c/FAUSTINE%2BNDUGULILE%2CMbunge%2Bwa%2BKigamboni.jpg)
Mrejesho wa kikao cha mashauriano kuhusu Mji mpya Kigamboni
![](http://3.bp.blogspot.com/--MmCO9APEmE/VFugTH5pNLI/AAAAAAADMhI/5j4oxsprK_4/s1600/FAUSTINE%2BNDUGULILE%2CMbunge%2Bwa%2BKigamboni.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JnvgBFO6uU/VFugR8zZuWI/AAAAAAADMhA/KYR0oReW6EE/s1600/TIBAIJUKA2014.jpg)
Siku ya Jumapili tarehe 10 Agosti 2014 kilifanyika kikao cha mashauriano kuhusu Mpango Kabambe wa Uendelezaji Mji Mpya wa Kigamboni kilichojumuisha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Prof. Anna Tibaijuka (Mb), Waheshimiwa Madiwani, Maofisa Watendaji Kata, Mbunge wa Kigamboni na wadau wengine. Mhe. Waziri alielezea kuwa lengo la kikao hiki ni pamoja na kutoa elimu kuhusu suala la hisa na kutaka kuwashawishi Madiwani na Mbunge kulikubali suala hili na pia kutoa taarifa ya...
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya
>Bado hakuna mwafaka kuhusu hatima ya Katiba Mpya, baada ya kuahirishwa kwa upigaji Kura ya Maoni iliyopaswa ifanyike Aprili 30 mwaka huu.
10 years ago
Michuzi09 Sep
NEWS ALERT: TCD YATOA TAMKO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA UCHAGUZI MKUU WA 2015
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Pinda: Uchaguzi unasubiri hatima ya Katiba Mpya
Waziri Mkuu amesema maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa yameanza lakini kikwazo ni msimamo wa Ukawa katika kupata Katiba Mpya kwa wakati uliopangwa.
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/7/78/Chadema_bendera.jpg)
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...
10 years ago
GPL23 Aug
10 years ago
Bongo522 Aug
Video Teaser: Kionjo cha video mpya ya Professor Jay ‘Kipi Sijasikia’ (HD)
Joseph Haule aka Professor Jay yuko mbioni kuachia video ya single yake ‘Kipi Sijaskia’ aliyomshirikisha Diamond Platnumz. Hiki ni kionjo cha video hiyo ambayo imeongozwa na Adam Juma wa Visual Lab: Next Level.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R0h3EIU*h52fdjcooro3tflFtO6hNATP1nditqH7l71lgq*4VkvwOYCViMq77BpUDgsl1GkrddyhinSB-0wjoFw/CHADEMA.jpg?width=550)
KUHUSU KIKAO CHA KAMATI KUU YA CHADEMA KESHO
Kutokana na maswali kutoka kwa wanahabari wa vyumba mbalimbali vya habari juu ya agenda za kikao cha Kamati Kuu kesho, Chama kimetoa kauli ifuatayo; Ni kweli kutakuwa na mkutano maalum wa Kamati Kuu ya chama kesho tarehe 3 Januari 2014 Jijini Dar Es Salaam. Ajenda kuu katika mkutano huo ni tatu; Mosi: Kupokea taarifa kuhusu mchakato na maudhui ya mabadiliko ya katiba
Kamati Kuu itapokea taarifa juu ya kupitishwa kwa marekebisho...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania