Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi Simba wasubiri hatima ya katiba yao

Kamati ya Uchaguzi ya Simba imeiomba Ofisi ya Msajili wa Klabu na Vyama  vya Michezo nchini ikamilishe mapema usajili wa katiba ya klabu hiyo iliyofanyiwa marekebisho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Pinda: Uchaguzi unasubiri hatima ya Katiba Mpya

Waziri Mkuu amesema maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa yameanza lakini kikwazo ni msimamo wa Ukawa katika kupata Katiba Mpya kwa wakati uliopangwa.

 

9 years ago

StarTV

UONGOZI SIMBA:Wasubiri ripoti ya kocha Kerr kuhusu kambi.

Klabu ya soka ya Simba inasubiri ripoti ya kocha mkuu wa timu hiyo Dylan Kerr ambayo itaeleza wapi timu hiyo itaweka kambi ya mwisho ya kujiandaa na ligi kuu soka Tanzania bara.

Simba imesema ripoti hiyo itaeleza ni mchezaji gani anatakiwa kusajiliwa miongoni mwa wale waliopo klabuni hapo kwa ajili ya majaribio.

Haji Manara ni Afisa Habari wa Simba amesema baada ya kumaliza mchezo wao dhidi ya URA ambao waliutumia kuwapima baadhi ya wachezaji lakini ripoti ya kocha ndiyo itategua kitendawili...

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi Simba Mei, Katiba leo

Wakati mkutano mkuu wa marekebisho ya katiba ya Simba unafanyika leo kwenye Uukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi Oyster Bay,Uongozi wa klabu hiyo umetangaza tarehe ya uchaguzi kuwa Mei 4, 2014.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Ofisa Habari wa Simba, Asha

 

10 years ago

Mwananchi

Mtuhumiwa wa mauaji aomba kujua hatima yao

Mshtakiwa wa mauaji ya kukusudia ya aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi, Longishu Losingo ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ieleze lilipo jalada la kesi yao na hatima yake ni nini.

 

9 years ago

Mwananchi

Hatima ya Mrundi wa Simba

Rais wa Simba, Evance Aveva amesema hatima ya usajili wa Mrundi, Kelvin Ndayisenga itajulikana leo baada ya majadiliano kuhusu kiwango cha fedha anachotaka.

 

11 years ago

Mwananchi

Hatima ya Wambura Simba sasa Agosti 3

Rais  wa Simba, Evans Aveva alisema jana kuwa wanachama waliofungua kesi mahakamani kupinga uchaguzi  uliofanyika Jumapili wamevunja katiba ya klabu hiyo ibara ya 28 inayokataza masuala ya klabu hiyo kupelekwa mahakamani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatima ya Loga Simba wiki hii

HATIMA ya Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic, raia wa Crotia kuendelea kutanua viunga vya Msimbazi sasa inatarajiwa kujulikana mwishoni mwa wiki hii. Loga alitua Msimbazi mzunguko wa pili wa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Rushwa ya uchaguzi, Guzman na hatima yetu

UCHAGUZI wa mwaka huu umehusisha na unaendelea kuhusisha matumizi makubwa ya fedha ambazo nyingi hazina maelezo, hali inayowatia shaka watu makini kiasi cha kushindwa kuelewa kama kweli pesa hizi zinazotumika ovyo namna hii, zinaweza kuwa zinatoka kwenye vyanzo halali.

Lakini hoja si tu kwamba pesa hizi zinatokana na vyanzo gani lakini vipi pesa hizi zikiweza kuwaweka viongozi madarakani ambao ni mazao ya pesa hizi haramu, ni nini utakuwa mustakabali wa taifa letu?

Wananchi nao...

 

11 years ago

Mwananchi

Hatima ya Katiba inahusishwa na mapepo?

Pamoja na maelezo yanayotolewa na baadhi ya viongozi hapa nchini kuhusu jinsi ya kutatua mgogoro unaoikumba nchi yetu hivi sasa ambao unatishia upatikanaji wa Katiba Mpya, tunalazimika kuungana na wote ambao wamekuwa wakisema kwamba hatima ya Katiba Mpya imo mikononi mwa Rais Jakaya Kikwete pekee. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani