Rushwa ya uchaguzi, Guzman na hatima yetu
UCHAGUZI wa mwaka huu umehusisha na unaendelea kuhusisha matumizi makubwa ya fedha ambazo nyingi hazina maelezo, hali inayowatia shaka watu makini kiasi cha kushindwa kuelewa kama kweli pesa hizi zinazotumika ovyo namna hii, zinaweza kuwa zinatoka kwenye vyanzo halali.
Lakini hoja si tu kwamba pesa hizi zinatokana na vyanzo gani lakini vipi pesa hizi zikiweza kuwaweka viongozi madarakani ambao ni mazao ya pesa hizi haramu, ni nini utakuwa mustakabali wa taifa letu?
Wananchi nao...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba ipeni nchi yetu hatima njema
HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete imechukuliwa kuwa ni hotuba ya kuwashinikiza, kushauri na kuelekeza nini kifanyike katika mchakato wa kujadili rasimu ya pili ya Katiba mpya ndani ya Bunge Maalumu...
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Tusipokemea rushwa tutaiangamiza nchi yetu
TANZANIA hivi sasa inakabiliwa na rushwa, ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka ambayo kwa kiasi kikubwa yamechangia kusuasua kwa maendeleo. Baaadhi ya Watanzania wenzetu wamekuwa na tabia ya kuwakejeli viongozi...
10 years ago
Vijimambo17 Dec
RUSHWA NI TATIZO SUGU KATIKA NCHI YETU, NANI ATAWEZA KUIONDOA?
![](http://api.ning.com/files/4YilfwQJfCsmQvIlIFx5OUAnQ3wzo1oArM7WqN9FHalt3GxKKRDo9kEQ5hzcCRrEu9xcbs0XUZueJHrrA6x-uydcmq6qH7ll/RUSHWAPICHANA1.jpg?width=650)
KATIKA kumuenzi Mungu, kila mtu ambaye leo afya yake ni nzuri hana budi kumshukuru na kumtukuza huku akimuomba awaponye wale wote walio katika magonjwa.
Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema kuwa katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi, baadhi ya matawi wanachama wake wamelalamikia rushwa kwamba waliwapigia kura watu waliokuwa wanapenda kuwaongoza lakini kura zao zikachakachuliwa.
Nilisimuliwa kuhusu tawi moja eti waliochaguliwa waliiba kura na matokeo yakatajwa...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Pinda: Uchaguzi unasubiri hatima ya Katiba Mpya
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Uchaguzi Simba wasubiri hatima ya katiba yao
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Uchaguzi Mkuu usitupokonye amani yetu
10 years ago
Mwananchi17 Jun
SALAMU KUTOKA KWA MHARIRI :Ahadi yetu uchaguzi wa 2015
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-L8kjn5vm_Vo/VVg1jF71oYI/AAAAAAAAJ4U/kjioVwh_L6Y/s72-c/USB_Microphone.jpg)
9 years ago
StarTV19 Aug
Rushwa yatawala uchaguzi Chadema Geita
Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mjini Geita wamesema kura za maoni za ubunge na udiwani zimekuwa na vurugu nyingi kutokana na vitendo vinavyodaiwa kuwa ni vya rushwa hali iliyochangia kuchagua viongozi wanaowapendekeza baadhi ya viongozi wasimamizi wa mchakato huo.
Katika kura za maoni za udiwani, wafuasi wa Chama hicho mnamo Agosti 17 majira ya jioni walivamia ofisi ya CHADEMA na kumpiga katibu wa jimbo hilo Ezekiel Mapesa kwa kile kinachodaiwa kuhujumu kura za maoni...