Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rushwa yatawala uchaguzi Chadema Geita

Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mjini Geita wamesema kura za maoni za ubunge na udiwani zimekuwa na vurugu nyingi kutokana na vitendo vinavyodaiwa kuwa ni vya rushwa hali iliyochangia kuchagua viongozi wanaowapendekeza baadhi ya viongozi wasimamizi wa mchakato huo.

Katika kura za maoni za udiwani, wafuasi wa Chama hicho mnamo Agosti 17 majira ya jioni walivamia ofisi ya CHADEMA na kumpiga katibu wa jimbo hilo Ezekiel Mapesa kwa kile kinachodaiwa kuhujumu kura za maoni...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Rushwa Chadema

ZIMEIBUKA tuhuma za rushwa kwenye kura za maoni ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuzua hofu miongoni mwa wafuatiliaji wa siasa nchini.

Kwa muda mrefu chama hicho kikuu cha upinzani nchini kimekuwa kikijipambanua na kuaminika mbele ya wananchi kama mpambanaji mkubwa wa rushwa, lakini safari hii hali imeanza kubadilika.

Taarifa zilizolifikia gazeti hili jana na juzi zinadai kuwa wakati wa kura za maoni Jimbo la Segerea, wanachama wa Chadema walilalamika kuwepo...

 

10 years ago

Michuzi

MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA

 Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano  mkuu wa chadema Wakicheza kwa furaha muda mfupi baada ya matokeo ya Uchaguzi kwenye Mkutano Mkuu Kutangazwa Usiku huu Freeman Mbowe akiwashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA  kwa kumchagua tena kushika nafasi ya mwenyekiti Mshindi wa nafasi ya mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipongezwa na Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Makamu  Mwenyekiti wa Chadema Bara Profesa Abdallah Safari(Kulia)na Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe wakipungia kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kigogo Chadema auawa kinyama Geita

Mji wa Geita umezizima kwa simazi, vilio na majonzi baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo kuuawa kinyama kwa kushambuliwa na silaha za jadi ikiwamo kukata kichwa kwa shoka.

 

9 years ago

TheCitizen

Shock as Chadema Geita leader killed

Opposition Chadema chairman for Geita region Alphonce Mawazo was slashed to death yesterday by a group of unknown people while attending a preparatory meeting for Ludete ward civic seat by-election.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Ridhiwani alitoa rushwa

WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikitamba kupata ushindi wa kura 20,828, sawa na 86.61% katika uchaguzi mdogo Chalinze, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeibuka na madai kwamba mgombea wa...

 

10 years ago

Habarileo

Chadema kuwajibishwa wanaonuka rushwa

Dk Wilibroad SlaaCHAMA cha Domekrasia na Maendeleo (Chadema), kimetoa maazimio makuu matatu yaliyofikiwa na Kamati Kuu (CC) ya chama hicho, ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha viongozi wake waliochaguliwa ikiwa watajihusisha na vitendo vya rushwa.

 

9 years ago

GPL

BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA AUAWA

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo enzi za uhai wake. Alphonce Mawazo alipokimbizwa Hospitali ya Mkoa wa Geita kabla ya kukumbwa na mauti. Katoro, Geita MWENYEKITI  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Geita na aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Busanda kupitia Chadema, Alphonce Mawazo ameuawa leo baada ya kushambuliwa kwa mapanga kichwani na watu wasiofahamika wakati akifanya kampeni...

 

10 years ago

Mwananchi

Rushwa yaahirisha kura ya maoni Chadema

>Uchaguzi wa kura za maoni ndani ya Chadema katika Jimbo la Bariadi umeahirishwa baada ya kubainika kwa matukio yanayoashiria vitendo vya rushwa.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Rushwa ya uchaguzi, Guzman na hatima yetu

UCHAGUZI wa mwaka huu umehusisha na unaendelea kuhusisha matumizi makubwa ya fedha ambazo nyingi hazina maelezo, hali inayowatia shaka watu makini kiasi cha kushindwa kuelewa kama kweli pesa hizi zinazotumika ovyo namna hii, zinaweza kuwa zinatoka kwenye vyanzo halali.

Lakini hoja si tu kwamba pesa hizi zinatokana na vyanzo gani lakini vipi pesa hizi zikiweza kuwaweka viongozi madarakani ambao ni mazao ya pesa hizi haramu, ni nini utakuwa mustakabali wa taifa letu?

Wananchi nao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani