Rushwa yaahirisha kura ya maoni Chadema
>Uchaguzi wa kura za maoni ndani ya Chadema katika Jimbo la Bariadi umeahirishwa baada ya kubainika kwa matukio yanayoashiria vitendo vya rushwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Chadema ilivyopindua kura za maoni Kalenga
>Moja ya sifa za mwanasiasa ni kuwa mvumilivu na kukubaliana na mabadiliko hata kama yatachelewesha kasi ya kutimiza ndoto yake.
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Kura za maoni Chadema Mbeya balaa
KURA za maoni, nafasi ya ubunge kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Mbeya zime
Mwandishi Wetu
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini
![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMP3afylAhU/Vb4bssanzKI/AAAAAAAHtTw/-b5C-BzlmoM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Mwakyembe, Malila wapeta kura za maoni Chadema
>Mkutano Maalumu wa Chadema Jimbo la Temeke umempitisha Bernard Mwakyembe kugombea ubunge katika jimbo hilo. Mwakyembe (33) alipata ushindi wa asilimia 66.7 kwa kuvuna kura 80 kati ya 120 katika mkutano uliotaka kuingia rabsha baada ya wajumbe kutoka Kata ya Sandari kuzuiwa kupiga kura kutokana na kutokidhi vigezo vya katiba.
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Wabunge Chadema waangukia katika kura za maoni
>Kura za maoni ndani ya Chadema zimeanza kuwa chungu kwa baadhi ya wabunge. Mbunge wa Mbulu, Mustapha Akoonay na mwingine wa Viti Maalumu, Susan Lyimo (Kinondoni) jana waliangukia pua, huku mwenzao wa Karatu, Mchungaji Israel Natse akitangaza kuachana na ubunge na kurejea katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT).
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Lembeli ashinda kura za maoni Chadema, Bulaya almanusura
>Wabunge wawili waliohama CCM hivi karibuni, James Lembeli na Ester Bulaya wamepitishwa katika kura za maoni kuwania ubunge kupitia chama chao kipya.
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Chadema yatishia kususia kura ya maoni Katiba Mpya
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakitakubali kura ya maoni za Katiba Mpya kufanyika bila daftari la wapiga kura kuboreshwa.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-NwOkgm-8rbs/Va7s7o37ZVI/AAAAAAAATXY/-_YS_LwBmnw/s72-c/Jimbo%2Bla%2BKinondoni-page-001.jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Jul
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimetoa ratiba rasmi ya kura za maoni
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimetoa ratiba rasmi ya kuanza kwa zoezi la kupiga kura za maoni kuwachagua wana CMD walioomba kuteuliwa kuwania ubunge, nchi nzima.
Ifuatayo ni ratiba za kura hizo katika majimbo ya Tanzania Bara
Ifuatayo ni ratiba za kura hizo katika majimbo ya Tanzania Bara
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania