Mwakyembe, Malila wapeta kura za maoni Chadema
>Mkutano Maalumu wa Chadema Jimbo la Temeke umempitisha Bernard Mwakyembe kugombea ubunge katika jimbo hilo. Mwakyembe (33) alipata ushindi wa asilimia 66.7 kwa kuvuna kura 80 kati ya 120 katika mkutano uliotaka kuingia rabsha baada ya wajumbe kutoka Kata ya Sandari kuzuiwa kupiga kura kutokana na kutokidhi vigezo vya katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4A0Y8sFnLoI/VbX9JWDCy_I/AAAAAAABS04/F0iDY0TCrkM/s72-c/pr-559x520.jpg)
KYSHER, PROF JAY WAPETA KWENYE KURA ZA MAONI UBUNGE, WEMA SEPETU, WASTARA WAANGUKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4A0Y8sFnLoI/VbX9JWDCy_I/AAAAAAABS04/F0iDY0TCrkM/s400/pr-559x520.jpg)
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
Waziri Mkuu hachaguliwi kwa kura za maoni wala kwa mitandao ya kijamii – Mwakyembe
Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe.
Na Lilian Lundo, MAELEZO-DODOMA
Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe amesema Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tano ya Tanzania atatokana na uteuzi utakaoidhinishwa na Bunge na si taarifa zilizopo sasa katika mitandao ya kijamii.
Dkt. Mwakyembe ambaye amewahi kuwa Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya Awamu ya Nne, alisema kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, Waziri Mkuu anateuliwa na Rais ambaye...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XHBq5drzfB4/VkiV2Z2_nwI/AAAAAAAIF7o/1RLZCL2n3zs/s72-c/Dr-Harrison-Mwakyembe.jpg)
WAZIRI MKUU ACHAGULIWI KWA KURA ZA MAONI WALA KWA MITANDAO YA KIJAMII - MWAKYEMBE
![](http://2.bp.blogspot.com/-XHBq5drzfB4/VkiV2Z2_nwI/AAAAAAAIF7o/1RLZCL2n3zs/s1600/Dr-Harrison-Mwakyembe.jpg)
Mbunge Mteule wa Jimbo la Kyela, Dkt. Harrison Mwakyembe (pichani) amesema Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tano ya Tanzania atatokana na uteuzi utakaoidhinishwa na Bunge na si taarifa zilizopo sasa katika mitandao ya kijamii.Dkt. Mwakyembe ambaye amewahi kuwa Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya Awamu ya Nne, alisema kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi, Waziri Mkuu anateuliwa na Rais ambaye huwasilisha jina hilo kwa Spika wa Bunge na baadaye...
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Kura za maoni Chadema Mbeya balaa
KURA za maoni, nafasi ya ubunge kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Mbeya zime
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi24 Jul
Rushwa yaahirisha kura ya maoni Chadema
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Chadema ilivyopindua kura za maoni Kalenga
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini
![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMP3afylAhU/Vb4bssanzKI/AAAAAAAHtTw/-b5C-BzlmoM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Wabunge Chadema waangukia katika kura za maoni
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Lembeli ashinda kura za maoni Chadema, Bulaya almanusura