News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini
![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akishangiliwa na wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda mjini. Matokea yalikuwa hivi:
Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akiwashukuru wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi04 Mar
NEWS ALERT: MATOKEO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA CHALINZE:,RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/7bXsQR_1gaLa7cRRVzAXfADetD4o2SOl9jc7ZQonhbTM8FaSWtQNSYY_YZT8qVVfEEo-Zfd1Bfan5ZzXl08AuI0VZj3CZT3zsTnQEeqD0FUl1h97z3xuHrSTQYRVyWg2OmVLsZ6KHA2CWVWP-tSSA6r8=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-frc1/t1/1962798_688078337922818_1898229911_n.jpg)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/-BD7UFpa8hDduwraU9_uWGk4YkaHHpHgpINhFkkKhkBbKslIZadA3vpQ1p3FF4r72KTnX-ovXlkOP32knyPj0fy8GTYHbT8cwHFw7RoLhi5_Vj4-aUjSlgdBcYq8y3NMeI7-8yOgEAjnCo-vT5gNfAY=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-ash3/t1/1922466_688078064589512_148624167_n.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Bu9WYA5mJwvcX19hrsenqb5DuL7pVzxMLkRFin4NbHPIFybr_XlIPWdYxAAcMHXVDo6pxPh2uxXM0MBYoUPbgskD_obGfyOh5bIRxMRsfYzFPKe_T6sLVwVz3Xxb3RWPGLUnLBsBZpGofcyUU7Prmzp-=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1/10003938_688090411254944_622046925_n.jpg)
11 years ago
Michuzi09 Feb
news alert: MTOTO WA MGIMWA ASHINDA KURA ZA MAONI KUGOMBEA UBUNGE WA KALENGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-U6ch77ZthSw/Usr-azhxvWI/AAAAAAAFFMM/S-5gzAGzO08/s1600/w74.jpg)
Mtokeo ya kura za maoni ndani ya CCM yametangazwa usiku wa kuamkia leo huku mtoto wa aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Godfrey Mgimwa akishinda kwa kishindo katika nafasi hiyo, akifuatiwa na Jackson Kiswaga katika matokeo hayo.
Godfrey Mgimwa amepata kura 342 huku Kiswaga akipata...
10 years ago
Habarileo03 Aug
Wasira, Lugola vinara kura za maoni
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira (pichani), ameshinda kura za maoni za CCM, baada ya kupata kura 6,429 na kumshinda mpinzani wake wa karibu ambaye ni mjasiriamali, Robert Maboto aliyepata kura 6,206.
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Hassan Mazala apeta kura za maoni CCM jimbo la Singida mjini
Mshindi wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwania nafasi ya Ubunge jimbo la Singida Mjini, Hassan Mazala akiwa katika moja ya shughuli za kuimalisha chama ndani ya jimbo hilo la Singida mjini (Picha na Maktaba ya modewjiblog).
Modewjiblog team
(Singida). Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa (MNEC) Manispaa ya Singida, Hassan Mazala ameweza kupenya kwenye kinyang’anyiro cha kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kuwania Ubunge Jimbo la Singida Mjini, kwa...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aU3gwyV8M6g/VjdsiVH0UMI/AAAAAAAAq4g/CnVBXf5NIGg/s72-c/2.jpg)
HANDENI MJINI KURUDIA KURA ZA MAONI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-aU3gwyV8M6g/VjdsiVH0UMI/AAAAAAAAq4g/CnVBXf5NIGg/s640/2.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana leo, Novemba 02,2015 chini ya Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Mrisho Kikwete imejadili kwa kina mapendekezo ya wana CCM walioomba ridhaa ya kugombea ubunge katika jimbo la Handeni mjini.
Kamati Kuu imetengua mapendekezo ya awali na kuagiza kurejewa kwa mchakato wa kura za maoni kwa wana -CCM wawili...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SiLxcSUmajs/VbvLPa-ZvMI/AAAAAAABj_M/pCFkSj1U7B8/s72-c/RAI.jpeg)
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Kishindo kura za maoni CCM
MTIKISIKO wa kura za maoni katika Chama Cha Mapinduzi (CCM), mbali na kusababisha Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makogoro Mhanga kukihama chama hicho, pia umemalizika kwa … kukamatwa na maofisa wa Takukuru huko….
Mkoani Mbeya
Kama ilivyokuwa katika uchaguzi uliopita, Jimbo la Kyela liliendelea kuvuta hisia za wengi ndani na nje ya mkoa huo kutokana na mikakati ya zaidi ya miaka miwili kumng’oa Mbunge wake, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison...
10 years ago
Mwananchi02 Aug
Mauzauza kura za maoni CCM
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10