Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hassan Mazala apeta kura za maoni CCM jimbo la Singida mjini

DSC00899Mshindi wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwania nafasi ya Ubunge jimbo la Singida Mjini, Hassan Mazala akiwa katika moja ya shughuli za kuimalisha chama ndani ya jimbo hilo la Singida mjini (Picha na Maktaba ya modewjiblog).

Modewjiblog team

(Singida). Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa (MNEC) Manispaa ya Singida, Hassan Mazala ameweza kupenya kwenye kinyang’anyiro cha kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi  (CCM) katika kuwania  Ubunge Jimbo la Singida Mjini, kwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Nyalandu apeta kura za maoni CCM

DSC00960

Katibu wa CCM Singida vijijini. Mwanamvua Khamisi Killo, akitangaza matokeo ya uchaguzi ubunge jimbo la Singida kaskazini.(Picha zote na Nathaniel Limu). 

DSC00971

Mgombea ubunge jimbo la Singida kaskazini CCM, Lazaro Samwel Nyalandu, akiwashukru baadhi ya wapiga wake kwa kumpa kura za kutosha.Nyuma ni mke wake Faraja Kotta.

DSC00955

Mgombea ubunge jimbo la Singida kaskazini kupitia CCM, Lazaro Samwel Nyalandu,akibebwa juu juu na wapiga kura na mashabiki wake kwenye viwanja vya CCM mkoa.

DSC00954

Lazaro Samwel...

 

9 years ago

Mwananchi

Dokta Seif aanguka Rufiji, Silaa apeta Ukonga kura za maoni CCM

Wakati Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Seif Rashid akianguka katika matokeo ya marudio ya kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Meya wa Ilala aliyemaliza muda wake ameibuka kidedea.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mchakato wa kuomba kura za maoni katika jimbo la Singida mjini likiendelea katika kata mbalimbali kwa wagombea kujinadi

HASAN

Mmoja wa wagombea ubunge jimbo la Singida Mjini, Hasan Mazala akiomba kura kata ya kajengo jana.

MAZALA

Mazala akiomba kura.

AMANI

Amani Rai mmoja wa wagombea Jimbo la Singida mjini akimwaga serra zake kata ya majengo.

LEAH

Mpiga picha na mwandishi wa habari Leah Samike nae amejitosa kuwania Ubunge Singida mjini.

META

Mmoja wa wananchi wa Majengo, Hamson Mrecha akiuliza swali mgombea.

YAGI

Yage Kiaratu mmoja wa wagombea nafasi ya Udiwani Kata ya Majengo akiomba kura.

WAJUMBE

Baadhi ya wajumbe wakiwa kwenye mkutano...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ziara ya kuimarisha chama ya MNEC manispaa ya Singida, Hassan Mazala

DSC00878

Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Philip Mazala, akizindua tawi la wajasiriamali wa Msimbazi kata ya Mwankoko.

DSC00899

Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Philip Mazala, akihutubia wakazi wa kijiji cha Mwankoko wakati wa ziara yake ya kukiimarisha chama.Wa kwanza kushoto ni katibu CCM manispaa ya Singida, Magdalena Ndwete. DSC00913 Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida,Hassan Philip Mazala ,akimkabidhi kadi...

 

10 years ago

Michuzi

News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akishangiliwa na wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda mjini. Matokea yalikuwa hivi:

Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto  6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri  385Brian Baraka 263

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akiwashukuru wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda...

 

10 years ago

Michuzi

CHAGUA AMANI RAI KATIKA KURA ZA MAONI SINGIDA MJINI

Chagua Amani Rai Jimbo la Singida Mjini.

 

10 years ago

Dewji Blog

Natosha kuvaa viatu vya ubunge wa Dewji Singida mjini- Hasan Mazala

fomu

Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM Manispaa ya Singida, Hassan Mazala akionesha vijana fomu yake ya kuwania ubunge Jimbo la Singida Mjini jana kwenye ukumbi wa mikutano wa CCM Mkoani Singida.

kwa nguvu

Mazala akiwaasa vijana kufanya kazi kwa nguvu katika jimbo hilo.

nimenyooka

Mkinipa nafasi ya kuwatumikia mambo yatanyooka namna hii.

ninao uwezo

tuko imara

Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Singida Mjini Hassan Mazala akisistiza jambo kwa vijana waliomsindikiza kuchukua fomu.

pamoja

vijana

Baadhi ya vijana wakiwa katika picha ya pamoja na Hassan...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA KURA ZA MAONI ZA CCM JIMBO LA KALENGA

Wagombea wakiwa katika mapozi kabla ya kuanza kwa zoezi la kupiga kura halijaanza
Baadhi ya wajumbe wa mkutano huo wakipiga makofi wakati wakisubiri zoezi la upigaji kura lianze wageni rasmi Msanii wa CCM Ally Bin Ahamed maarufu kwa jina la mpemba asilia akitoa mashairi ya kuipongeza CCM wajumbe wengine
Wagombea nao wakijifariji kwa makofi ya wajumbe

KAIMU Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga amewasihi wajumbe wa mkutano huo kumchangua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani