CHAGUA AMANI RAI KATIKA KURA ZA MAONI SINGIDA MJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-SiLxcSUmajs/VbvLPa-ZvMI/AAAAAAABj_M/pCFkSj1U7B8/s72-c/RAI.jpeg)
Chagua Amani Rai Jimbo la Singida Mjini.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Jul
Mchakato wa kuomba kura za maoni katika jimbo la Singida mjini likiendelea katika kata mbalimbali kwa wagombea kujinadi
Mmoja wa wagombea ubunge jimbo la Singida Mjini, Hasan Mazala akiomba kura kata ya kajengo jana.
Mazala akiomba kura.
Amani Rai mmoja wa wagombea Jimbo la Singida mjini akimwaga serra zake kata ya majengo.
Mpiga picha na mwandishi wa habari Leah Samike nae amejitosa kuwania Ubunge Singida mjini.
Mmoja wa wananchi wa Majengo, Hamson Mrecha akiuliza swali mgombea.
Yage Kiaratu mmoja wa wagombea nafasi ya Udiwani Kata ya Majengo akiomba kura.
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Hassan Mazala apeta kura za maoni CCM jimbo la Singida mjini
Mshindi wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwania nafasi ya Ubunge jimbo la Singida Mjini, Hassan Mazala akiwa katika moja ya shughuli za kuimalisha chama ndani ya jimbo hilo la Singida mjini (Picha na Maktaba ya modewjiblog).
Modewjiblog team
(Singida). Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa (MNEC) Manispaa ya Singida, Hassan Mazala ameweza kupenya kwenye kinyang’anyiro cha kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kuwania Ubunge Jimbo la Singida Mjini, kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini
![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMP3afylAhU/Vb4bssanzKI/AAAAAAAHtTw/-b5C-BzlmoM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rd8gerMDZm8/VbAiM2aM-7I/AAAAAAAD0XU/5r73_epiQz8/s72-c/Mmoja%2Bwa%2Bwagombea%2Bwa%2BJimbo%2Bla%2BMoshi%2BMjini%2Bkijana%2BDaudi%2BMrindoko.jpg)
MOSHI MJINI KUMEKUCHA ! KUELEKEA KURA ZA MAONI !NURU MPYA YA MABADILIKO KATIKA UMMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rd8gerMDZm8/VbAiM2aM-7I/AAAAAAAD0XU/5r73_epiQz8/s640/Mmoja%2Bwa%2Bwagombea%2Bwa%2BJimbo%2Bla%2BMoshi%2BMjini%2Bkijana%2BDaudi%2BMrindoko.jpg)
10 years ago
MichuziNYALANDU ASHINDA KURA ZA MAONI UBUNGE CCM SINGIDA KASKAZINI
Nyalandu, ambaye alikitetea nafasi hiyo aliwashinda wagombea wenzake saba waliojitokeza kupambana naye, ambapo aliongoza kwenye kata zote za jimbo hilo na kuwaacha mbali wapinzani wake.
Mwanasiasa huyo kijana na mwenye ushawishi mkubwa, aliongoza katika Kata za Ikhanoda, Msange, Itaja, Mwasauya, Mrama, Maghojoa,...
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Askofu Angowi ahimiza amani, ataka kura maoni
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z5_qDF2YbFs/Vb-To7WPwYI/AAAAAAABTFM/9xAnsWBj2o0/s72-c/jerry.jpg)
wapiga kura wampongeza jerry silaa kwa kushinda katika kura za maoni jimbo la ukonga
![](http://4.bp.blogspot.com/-z5_qDF2YbFs/Vb-To7WPwYI/AAAAAAABTFM/9xAnsWBj2o0/s640/jerry.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-u5eLO9o9QZQ/Vb-To2dTbaI/AAAAAAABTFQ/Ym8hr02Xc08/s640/maxresdefault.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aU3gwyV8M6g/VjdsiVH0UMI/AAAAAAAAq4g/CnVBXf5NIGg/s72-c/2.jpg)
HANDENI MJINI KURUDIA KURA ZA MAONI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-aU3gwyV8M6g/VjdsiVH0UMI/AAAAAAAAq4g/CnVBXf5NIGg/s640/2.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana leo, Novemba 02,2015 chini ya Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Mrisho Kikwete imejadili kwa kina mapendekezo ya wana CCM walioomba ridhaa ya kugombea ubunge katika jimbo la Handeni mjini.
Kamati Kuu imetengua mapendekezo ya awali na kuagiza kurejewa kwa mchakato wa kura za maoni kwa wana -CCM wawili...
10 years ago
VijimamboWATANZANIA WAISHIO DMV USA WALIPOKUTANA KUMSIKILIZA MH. ISMAIL JUSSA, ALIPOELEZEA UCHAKACHULIWAJI WA MAONI YA KATIBA NA KUELEZEA SABABU ZINAZOIFANYA UKAWA KWA NINI HAITOSHIRIKI KATIKA KURA YA MAONI