Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHAGUA AMANI RAI KATIKA KURA ZA MAONI SINGIDA MJINI

Chagua Amani Rai Jimbo la Singida Mjini.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mchakato wa kuomba kura za maoni katika jimbo la Singida mjini likiendelea katika kata mbalimbali kwa wagombea kujinadi

HASAN

Mmoja wa wagombea ubunge jimbo la Singida Mjini, Hasan Mazala akiomba kura kata ya kajengo jana.

MAZALA

Mazala akiomba kura.

AMANI

Amani Rai mmoja wa wagombea Jimbo la Singida mjini akimwaga serra zake kata ya majengo.

LEAH

Mpiga picha na mwandishi wa habari Leah Samike nae amejitosa kuwania Ubunge Singida mjini.

META

Mmoja wa wananchi wa Majengo, Hamson Mrecha akiuliza swali mgombea.

YAGI

Yage Kiaratu mmoja wa wagombea nafasi ya Udiwani Kata ya Majengo akiomba kura.

WAJUMBE

Baadhi ya wajumbe wakiwa kwenye mkutano...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hassan Mazala apeta kura za maoni CCM jimbo la Singida mjini

DSC00899Mshindi wa kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwania nafasi ya Ubunge jimbo la Singida Mjini, Hassan Mazala akiwa katika moja ya shughuli za kuimalisha chama ndani ya jimbo hilo la Singida mjini (Picha na Maktaba ya modewjiblog).

Modewjiblog team

(Singida). Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa (MNEC) Manispaa ya Singida, Hassan Mazala ameweza kupenya kwenye kinyang’anyiro cha kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi  (CCM) katika kuwania  Ubunge Jimbo la Singida Mjini, kwa...

 

10 years ago

Michuzi

News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akishangiliwa na wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda mjini. Matokea yalikuwa hivi:

Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto  6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri  385Brian Baraka 263

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akiwashukuru wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda...

 

10 years ago

Vijimambo

MOSHI MJINI KUMEKUCHA ! KUELEKEA KURA ZA MAONI !NURU MPYA YA MABADILIKO KATIKA UMMA

Baadhi ya wananchi jimboni Moshi Mjini wamesikika wakisema kuwa katika kuelekea kula katika kura za maoni ,hawezi kukubali kuwa msingi watu wa wafanyibiasharawanaokimbilia dili la kugombea ubunge,wananchi hao wametililika kwa kudai kuwahadi sasa kuna wagombea 11 kwa kupitia tiketi ya CCM, ambao wanawania kupata ridhaa ya wanaCCM jimboni Moshi Mjini,katika wagombea hao wapo pia wafanyibiashara na raia wa kawaida,miongoni mwao yupo mgombea mwenye umri mdogo kuliko wote kijana Daudi Babu...

 

10 years ago

Michuzi

NYALANDU ASHINDA KURA ZA MAONI UBUNGE CCM SINGIDA KASKAZINI

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameibuka na ushindi wa kishindo katika kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwania ubunge Jimbo la Singida Kaskazini.
Nyalandu, ambaye alikitetea nafasi hiyo aliwashinda wagombea wenzake saba waliojitokeza kupambana naye, ambapo aliongoza kwenye kata zote za jimbo hilo na kuwaacha mbali wapinzani wake.
Mwanasiasa huyo kijana na mwenye ushawishi mkubwa, aliongoza katika Kata za Ikhanoda, Msange, Itaja, Mwasauya, Mrama, Maghojoa,...

 

10 years ago

Mwananchi

Askofu Angowi ahimiza amani, ataka kura maoni

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM), Jesse Angowi amesema kutounga mkono kufanyika kwa kura ya maoni Aprili, 2015 ni kukaribisha machafuko nchini.

 

10 years ago

Michuzi

wapiga kura wampongeza jerry silaa kwa kushinda katika kura za maoni jimbo la ukonga

 Wananchi wa Jimbo la Ukonga wakiwa nyumbani kwa mgombea ubunge wa jimbo hilo aliyeibuka kidedea, Jerry Silaa.Mgombea Jerry Silaa akishukuru wapiga kura baada ya kuibuka kidedea kwa kupata kura 10,382 huku mshindani wake PATEL Ramesh akipata kura 7355. Mgombea ubunge huyo aliwashukuru wananchi na wanaCCM waliokwenda nyumbani kumpongeza na kuwapongeza wagombea wenzake wote,na kuongeza kuwa wiki moja waliyokuwa pamoja amejifunza mengi, anaamini watashirikiana kufanikisha Ushindi wa CCM October...

 

9 years ago

Michuzi

HANDENI MJINI KURUDIA KURA ZA MAONI KESHO

 Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba.

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana leo, Novemba 02,2015 chini ya Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Mrisho Kikwete imejadili kwa kina mapendekezo ya wana CCM walioomba ridhaa ya kugombea ubunge katika jimbo la Handeni mjini.

 Kamati Kuu imetengua mapendekezo ya awali na kuagiza kurejewa kwa mchakato wa kura za maoni kwa wana -CCM wawili...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WAISHIO DMV USA WALIPOKUTANA KUMSIKILIZA MH. ISMAIL JUSSA, ALIPOELEZEA UCHAKACHULIWAJI WA MAONI YA KATIBA NA KUELEZEA SABABU ZINAZOIFANYA UKAWA KWA NINI HAITOSHIRIKI KATIKA KURA YA MAONI

Kabla ya mkutano kuanza, picha ya juu na chini zinazofuata, zikionyesha  kisimamo cha dakika moja kumuombe na kada  na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM, John Komba

MC katika mkutano huo, Bw.Libe Mwang'ombe, aliyeumudu kuuendesha mkutano kwa utaratibu uliotakiwa na kwa usalama hadi mwisho bila jazba hadi mwisho masuali yaliulizwa kwa vifungu na kujibiwa ipasavyo   Dada Salma akiuliza suali kwa wakati wake, masuali mengi yaliulizwa na wadau mbali mbali ambyo yalikuwa ya msingi kwa mustakabali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani