Kigogo Chadema auawa kinyama Geita
Mji wa Geita umezizima kwa simazi, vilio na majonzi baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo kuuawa kinyama kwa kushambuliwa na silaha za jadi ikiwamo kukata kichwa kwa shoka.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/mawazo-2.jpg)
BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CHADEMA GEITA AUAWA
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Mwanamke auawa kinyama
MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Agnes Peter amefariki dunia baada ya kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na watu wasiojulikana na kisha kuondoka na titi lake la kushoto. Kwa...
11 years ago
Mwananchi04 Jul
UKATILI: Auawa kinyama
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Mauaji ya kinyama yarejea Geita
NA VICTOR BARIETY, GEITA
MAUAJI ya kinyama ambayo yanahusishwa na imani za kishirikina yameanza kurejea mkoani Geita, baada ya watu wanne wa familia moja wakazi wa kijiji cha Bugalama wilayani Geita kuuawa.
Watu ambao majina yao hajatambuliwa mara moja, wameuawa kwa kuchinjwa shingo kama kuku.
Waliouawa katika tukio hilo lililotokea Desemba Mosi, ni wanawake watatu na mtoto mmoja.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita,Latson Mponjoli alipoulizwa jana alikiri kutokea kwa tukio hilo.
Akisimulia...
10 years ago
Habarileo21 Dec
Auawa kinyama na kutenganishwa shingo
MKAZI wa kijiji cha Ilalangulu, kata ya Kibaoni wilayani Mlele, Elizabeth Richard (16) ameuawa kwa kuchinjwa shingo, kichwa kikitenganishwa na kiwiliwili chake na watu wasiofahamika kisha wakanyofoa sehemu zake za siri na kuondoka nazo.
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Dereva bodaboda auawa kinyama
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Mwanablogu auawa kinyama Bangladesh
11 years ago
Mwananchi31 May
Mwalimu wa kike auawa kinyama wilayani Masasi
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Kigogo CCM auawa
MWENYEKITI wa zamani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Mwanza, Clement Mabina, ameuawa kinyama na wananchi wenye hasira baada ya kumuua kwa risasi mtoto mdogo anayekadiriwa kuwa na miaka...