Mauaji ya kinyama yarejea Geita
NA VICTOR BARIETY, GEITA
MAUAJI ya kinyama ambayo yanahusishwa na imani za kishirikina yameanza kurejea mkoani Geita, baada ya watu wanne wa familia moja wakazi wa kijiji cha Bugalama wilayani Geita kuuawa.
Watu ambao majina yao hajatambuliwa mara moja, wameuawa kwa kuchinjwa shingo kama kuku.
Waliouawa katika tukio hilo lililotokea Desemba Mosi, ni wanawake watatu na mtoto mmoja.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita,Latson Mponjoli alipoulizwa jana alikiri kutokea kwa tukio hilo.
Akisimulia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Kigogo Chadema auawa kinyama Geita
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mauaji ya kinyama tena
WAKATI kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Mwanza, Clement Mabina akiua naye kuuawa na wananchi kutokana na mgogoro wa ardhi, watu wengine watatu wameuawa na polisi jana, huku kituo...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-bYNeliYF8NM/VekpLbG1ZnI/AAAAAAABUyY/8sspRL5Ao8Q/s72-c/275bLiberatus-Sabas.jpg)
ALIYEFANYA MAUAJI YA KINYAMA JIJINI ARUSHA AKAMATWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bYNeliYF8NM/VekpLbG1ZnI/AAAAAAABUyY/8sspRL5Ao8Q/s640/275bLiberatus-Sabas.jpg)
Mtuhumiwa mauaji ya kutisha ya kumkata viungo vya mwili marehemu zikiwemo sehemu za siri, viganja vya mikono na matiti mauaji yaliotokea kwenye hotel ya A Square Belmot amekamatwa na jeshi la polisi mkoani Arusha.
Akiongea na vyombo vya habari ofisini kwake kamanda wa polisi, Naibu kamishna wa jeshi la polisi mkoani hapa Liberatus Sabas (pichani) alisema kuwa mtuhumiwa alikamatwa juzi majira ya asubuhi katika eneo la TRA House jijini hapa.
Kamanda Sabas alisema kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Mauaji ya kutisha yazuka tena Geita
MAUAJI ya kikatili yameibuka tena mkoani Geita baada ya watu wasiojulikana kuvamia maeneo matatu usiku wa Aprili 27 na kuwaua kwa kuwachinja na kutenganisha viungo vyao watu watatu kwa imani...
10 years ago
StarTV27 Feb
Kesi ya mauaji ya Albino yasikiliwa Geita.
Na Salma Mrisho,
Geita.
Kesi ya mauaji ya mtu mwenye ulemavu wa ngozi Zawadi Magindu aliyedaiwa kuuawa kwa kukatwa miguu na mkono mmoja katika kijiji cha Nyamaruru wilayani Geita mwaka 2008 imesikilizwa kwa siku tatu kwenye mahakama kuu ya Mkoa wa Geita.
Kesi hiyo namba 43 ya mwaka 2009 inawahusisha watuhumiwa wanne ambao wanadaiwa kushirikiana katika zoezi la mauaji hayo.
Tukio la kuuawa kwa Zawadi limetokea tarehe 11 Machi mwaka 2008 majira ya usiku katika kijiji cha Nyamaruru.
Kesi hiyo...
10 years ago
Tanzania Daima04 Sep
Mamaja wataka mauaji ya vikongwe yatokomezwe Geita
KIKUNDI cha mahusiano na mawasiliano ya jamii (Mamaja Group), cha mjini hapa kimeitaka jamii kutoa ushirikiano wa kutokomeza kabisa mauaji ya vikongwe yanayosababishwa na imani za kishirikina, urithi na migogoro...
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Chanzo mauaji ya mapanga mkoani Geita hiki hapa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-P0TeoGRmjwY/XtjJd0GzPuI/AAAAAAALslM/5YW-P0zUZLw_roIlAKojzIDwIS9Oo7gZQCLcBGAsYHQ/s72-c/Makamu%2BRais%2Bwa%2BGGML%252C%2BSimon%2BShayo.jpg)
GEITA GOLD MINING LTD YATOA MILIONI 100/- KUSAIDIA UJENZI CHUO KIKUU HURIA-GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P0TeoGRmjwY/XtjJd0GzPuI/AAAAAAALslM/5YW-P0zUZLw_roIlAKojzIDwIS9Oo7gZQCLcBGAsYHQ/s400/Makamu%2BRais%2Bwa%2BGGML%252C%2BSimon%2BShayo.jpg)
Awamu ya kwanza ya mradi huo inajumuisha ujenzi wa jengo la utawala linalojumuisha chumba mikutano cha viongozi, maktaba, chumba cha maabara ya kompyuta na ofisi nyingine tano.
Pia kiasi hicho cha pesa kilichotolewa na GGML ni kwa ajili ya ununuzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRGsDg4KRGY/Xumstjqz1nI/AAAAAAALuJ0/ePRarxvUZL49M_8SpDUlVUOBW_mBjn9eQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-15%2Bat%2B10.10.57%2BPM.jpeg)
Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita.
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%.
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...