GEITA GOLD MINING LTD YATOA MILIONI 100/- KUSAIDIA UJENZI CHUO KIKUU HURIA-GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P0TeoGRmjwY/XtjJd0GzPuI/AAAAAAALslM/5YW-P0zUZLw_roIlAKojzIDwIS9Oo7gZQCLcBGAsYHQ/s72-c/Makamu%2BRais%2Bwa%2BGGML%252C%2BSimon%2BShayo.jpg)
KATIKA kukuza sekta ya elimu ya juu nchini, Kampuni ya Geita Gold Mining Ltd. (GGML) kupitia sera yake ya uwajibikaji kwa jamii imetoa kiasi cha Sh milioni 100 kusaidia ujenzi wa Kituo cha Chuo Kikuu Huria(Open University) cha mkoani wa Geita.
Awamu ya kwanza ya mradi huo inajumuisha ujenzi wa jengo la utawala linalojumuisha chumba mikutano cha viongozi, maktaba, chumba cha maabara ya kompyuta na ofisi nyingine tano.
Pia kiasi hicho cha pesa kilichotolewa na GGML ni kwa ajili ya ununuzi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA CHUO KIKUU DAR NA CHUO KIKUU HURIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s1600/pinda%2Bmizengo.jpg)
Ametoa kauli hiyo jana usiku (Ijumaa, Oktoba 10, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) mara baada ya kuzindua jengo la ghorofa 10 linalojulikana kama Ghorofa la Elimu ya Masafa ya Huria (Open Distance...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Ujenzi chuo cha Veta Geita kutumia bil. 6.7/-
MAMLAKA ya Veta Kanda ya Ziwa imesema zaidi ya sh bilioni 6.7 zitatumika katika ujenzi wa chuo cha mafunzo ya Ufundi Stadi na Huduma mkoani hapa. Hayo yalibainishwa hivi karibuni...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/Ndunguru-3.jpg)
PRODUCTION OF GOLD AT THE BUCKREEF GOLD MINE IN GEITA REGION
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MILIONI 100 KUSAIDIA WALIOATHIRIKA NA MAFURIKO MKOANI MOROGORO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SL577_OlF1Y/U7ucZwn8WhI/AAAAAAAClCk/h5pVoiajFhc/s72-c/IPTL+1.jpg)
IPTL yatoa shilingi milioni 14.5 kusaidia ujenzi wa Kanisa la Mtakatifu Petro
![](http://4.bp.blogspot.com/-SL577_OlF1Y/U7ucZwn8WhI/AAAAAAAClCk/h5pVoiajFhc/s1600/IPTL+1.jpg)
10 years ago
MichuziSERIKALI YA JAPAN YATOA MSAADA WA SHILINGI MILIONI 165 KWA AJILI YA MASHINE YA KUKAMULIA MAFUTA YA ALIZETI, CHATO MKOANI GEITA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5z5qV2byzY0/U3CYcGxdwvI/AAAAAAAFhDo/4one1xlpSl0/s72-c/unnamed+(7).jpg)
MAHAFALI YA 11 CHUO KIKUU HURIA MANYARA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5z5qV2byzY0/U3CYcGxdwvI/AAAAAAAFhDo/4one1xlpSl0/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EiyO6kmhsMw/U3CYb-En2sI/AAAAAAAFhDk/HxiHtKtPrpY/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tjs2UcRz80g/U3CYd5ToY6I/AAAAAAAFhD0/ufjM6PH4O78/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iZ26uMvk6Vk/U3CYdrBqPrI/AAAAAAAFhDw/_L5UplVjqYo/s1600/unnamed+(10).jpg)
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Mahafali ya Chuo Kikuu Huria yafana Rwanda
Na Mwandishi Wetu
CHUO Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), kimefanya mahafali yake ya 28 katika kituo cha uendeshaji kilichopo mjini Kibungo, Wilaya ya Ngoma nchini Rwanda.
Mahafali hayo yaliyofanyika Machi 20, mwaka huu yalihudhuriwa na wageni mbalimbali akiwamo Mkuu wa chuo hicho, Dk. Asha-Rose Migiro ambaye aliwatunuku wahitimu shahada mbalimbali.
Mahafali hayo yaliyohusisha wahitimu 25 wa shahada za uzamili, yamekuja baada ya kufanyika kwa mahafali ya 26 Novemba mwaka jana, Kibaha mkoani...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qoXrJ7Bp7y0/VIqLW0KPD6I/AAAAAAAG2qs/Xb-zHQ4nzns/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
walimu wala nondozzz Chuo Kikuu Huria
![](http://1.bp.blogspot.com/-qoXrJ7Bp7y0/VIqLW0KPD6I/AAAAAAAG2qs/Xb-zHQ4nzns/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bpcLWynsriM/VIqLXqU4QCI/AAAAAAAG2q0/P57ny0L4NYQ/s1600/unnamed%2B(13).jpg)