Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YA JAPAN YATOA MSAADA WA SHILINGI MILIONI 165 KWA AJILI YA MASHINE YA KUKAMULIA MAFUTA YA ALIZETI, CHATO MKOANI GEITA

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli ambaye pia ni Mbunge wa Chato (katikati) akifurahia jambo wakati akizungumza Balozi wa Japan Masaki Okada (kulia), pamoja na wawakilishi kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya sherehe ya utiaji sahihi wa mkataba wa uwekwaji mashine ya kukamualia mafuta ya Alizeti wilayani Chato. Hafla hiyo ya utiaji saini umefanyika leo jijini Dar es Salaam.Balozi wa Japan, Masaki Okada, akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi ambaye ni Mbunge wa jimbo la Chato...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BALOZI WA JAPAN ASAINI MKATABA WA MRADI WA UJENZI WA KIWANDA CHA KUKAMULIA MAFUTA YA ALIZETI WILAYANI CHATO.

BALOZI wa Japan nchini Masaki Okada leo ametiliana saini na halmashauri ya wilaya ya chato mkoani geita ujenzi wa kiwanda cha kukamulia mafuta ya alizeti kitakachojengwa wilayani chato mkoani geita.Akizungumza katika hafla hiyo balozi Okada amesema serikali ya japan imeamua kutoa msaada wa dola za Marekani 95,124 sawa na shilingi milioni 165 za Tanzania kugharamia mradi huo.“Mradi huu ni wa kipekee katika miradi toka mfoko wa grant assistance for grassroots human security projects GGHSP...

 

9 years ago

Dewji Blog

Zantel yatoa msaada wa shilingi milioni 10 kwa ajili ya kukarabati shule ya Msingi Mkanyageni iliyoko Pemba

3

Mkurugenzi wa Biashara wa kampuni ya Zantel upande wa Zanzibar, Bwana Mohamed Musa akikabidhi hundi ya Shilingi millioni 10 kwa Mwenyekiti wa Shule ya Msingi Mkanyageni, Bwana Ally Ngwali Vuai iliyoko visiwani Pemba kwa ajili ya kukamiIsha ujenzi wa vyumba sita vya madarasa vitakavyotumiwa na watoto zaidi ya 350. Anayeshuhudia ni Mkurugugenzi wa Mauzo Zantel, Bwana Sukhwinder Bajwa pamoja na wanafunzi na wajumbe wa kamati ya shule hiyo.

4

Mkuu wa Shule ya Msingi Mkanyageni, Bwana Ramadhani...

 

11 years ago

Michuzi

UDA yatoa msaada wa shilingi milioni 15 kwa kanisa la Mt. Rita

   Mkurugenzi Mtendaji wa Shirila la Usafiri (UDA) Bw. Simon Bulenganija (kushoto) akisisitiza jambo kwa Paroko Msaidizi wa Kigango cha Kanisa la Mavurunza, Padri Xavery Kassase kabla ya kukabidhi hundi ya shilingi milioni 15 kwa Kigango cha Kanisa la Mtakatifu Rita kusaidia mradi wa ujenzi wa nyumba ya mapadri wakati wa harambee iliyofanyika kanisani hapo hivi karibuni.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Shirila la Usafiri (UDA) Bw. Simon Bulenganija (kushoto) akikabidhi hundi yenye thamani ya...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CBA YATOA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 3 KWA SHULE YA SINGISI ARUSHA

IMG_8466
Meneja Masoko wa bank ya CBA  Bw. Sollomon Kawiche akisoma hutuba wakati walipokuja kutoa msaada chek ya fedha Shiling Million Tatu na laki Nane katika Shule ya msingi na Ufundi Singisi kwa ajiliya kununua vifaa vya umeme vya kujifunzia kwa wanafunzi wa ufundi shulen hapo.Aliyeko kulia ni mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Singisi Janeth Ayo na watatu kulia ni meneja  wa Kanda CBA Juliana Mwansuva(Picha na Jamiiblog)IMG_8493
Meneja wa Kanda wa Bank ya CBA Juliana Mwamsuva akimkabidhi Mwalimu mkuu...

 

11 years ago

Michuzi

SERIKALI YA JAPAN YATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAKIMBIZI NCHINI

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kupokea msaada wa chakula kwa ajili ya Wakimbizi wa Kambi ya Nyarugusu, mkoani Kigoma chenye thamani ya Dola ya Marekani 1.4 sawa na zaidi ya Shilingi 2.3 Bilioni, ambazo zimetolewa na Serikali ya Japan. Kushoto ni Balozi wa Japan nchini, Masaki Okada na Mkurugenzi Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani (WFP), Richard Regan. Waziri Chikawe alipokea msaada...

 

10 years ago

Michuzi

TTCL YATOA MSAADA WA KOMPUTA NA KIFURUSHI CHA INTERNET YENYE KASI YA 2MBPS VYENYE JUMLA YA SHILINGI MILIONI 20.169 KWA KITUO CHA GLOBAL OUTREACH TANZANIA

Mkuu wa biashara kanda ya Nyanda za juu kusini Bw. Juvenal Utafu ( wa tatu kutoka kushoto) akimkabidhi moja ya komputa zilizotolewa na TTCL Bw. Nasibu Mengele aliyemwakilisha Afisa Elimu mkoa wa Iringa Bw. Eusedius Mtavangu katika halfa iliyofanyika katika kituo cha Global Outreach Tanzania mkoani Iringa. Mkuu wa biashara kanda ya Nyanda za juu kusini Bw. Juvenal Utafu(kushoto) akifuatilia ngonjera kutoka wanafunzi (hawapo pichani) na meneje wa TTCL mkoa wa Iringa Bw. Humprey Ngowi.

 

5 years ago

Michuzi

KANALI MSTAAFU NDUGU NGEMELA LUBINGA AFANYA ZIARA WILAYA YA CHATO NA MBOGWE GEITA MKOANI GEITA.




Mlezi wa Mkoa wa Geita Ndugu. Ngemela Lubinga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (Siasa na Uhusiano wa Kimataifa) amefanya ziara wilayani Chato na Mbogwe Mkoani Geita. 
Wilayani Chato Ndugu Lubinga amekagua na kujionea upanuzi wa Hospital ya Wilaya ya Chato pamoja na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa majengo matano ambao umekamilika kwa asilimia 97%. 
Aidha amekagua pia maendeleo ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mlimani ambao umejengwa kwa nguvu ya...

 

9 years ago

Michuzi

UNIDO YAVIPIGA JEKI VIWANDA VIDOGO VYA MAFUTA YA ALIZETI MKOANI DODOMA

IMG_2196Meneja Mkuu wa kiwanda cha kuzalisha mafuta ya alizeti cha Glory Farm & Agricultural Products, Justin Nyamoga akitoa maelezo jinsi kiwanda hicho kinavyofanya kazi zake kwa Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) aliyeambatana na Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Awa Dabo (kushoto), Mwakilishi Msaidizi wa Shirika la UNFPA, Dk. Hashina Begum (kulia) pamoja na...

 

5 years ago

Michuzi

NMB yawezesha Kilimo cha katani nchini, yatoa shilingi Bilioni 1 kwa ajili ya matrekta


Waziri Mkuu – Kassim Majaliwa akikabidhi mkopo uliotolewa kwa mkopo na Benki ya NMB wa matrekta  11 na matrela  yake 22 yenye thamani ya sh. Bilioni  moja, kwa Vyama Vinne vya ushirika vya wakulima wa mkonge Mkoani Tanga. Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa Vyama vya Mkonge mkoani Tanga – Greyson Nyari akionyesha ufunguo wa moja ya matrekta aliyokabidhiwa. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi ufunguo wa moja ya matrekta hayo  Greyson  Nyari, Mwenyekiti wa Vyama vya Mkonge  Mkoa wa Tanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani